Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hashim Rungwe mze wa wali ndondo na mze John Shibuda uwa wanautani wa kweli.
Chama Cha Majambazi (CCM)
Mh kwahiyo hata wazee wa legacy na wazalendo nao walikua majizi?Haipo tena haja ya kumung'unya maneno:
View attachment 2533661
Ukweli ni mchungu lakini inabidi usemwe.
Wizi wao ni wapi usikoonekana?
Ni NHIF, LATRA, TRA, Polisi, Immigration?
Wapi penye unafuu?
Mh kwahiyo hata wazee wa legacy na wazalendo nao walikua majizi?
Kuku tu mwanamama anakuja na dumu la wese !! Salaaleeh 🙄
Na wao wamo ila yule Mwamba alionyesha nia ya kutaka kuwashughulikia baadhi ya wenzake ndio Maana akapata sapoti kubwa kutoka kwa wananchi wa hali ya chini ambao ndio wengi sana hapa Nchini !!Mh kwahiyo hata wazee wa legacy na wazalendo nao walikua majizi?
Tatizo lilikuja.. wew unaetaka kuwashughulikia wenzako wakat na wao wanajua uliyopiga serikalini!! Hakuna msafi ndan ya CCM mzee!!Na wao wamo ila yule Mwamba alionyesha nia ya kutaka kuwashughulikia baadhi ya wenzake ndio Maana akapata sapoti kubwa kutoka kwa wananchi wa hali ya chini ambao ndio wengi sana hapa Nchini !!
Na wao wamo ila yule Mwamba alionyesha nia ya kutaka kuwashughulikia baadhi ya wenzake ndio Maana akapata sapoti kubwa kutoka kwa wananchi wa hali ya chini ambao ndio wengi sana hapa Nchini !!
CCM ni ukoo wa panya—babu mwizi, baba mwizi, watoto wezi, wajukuu wezi, vitukuu wezi, vilembwe wezi na vining’ina wezi! Ukoo huu wa panya walikuwa wanasafiri katika boti la muhogo, lakini kwa sababu ya uroho wao, walianza kulitafuna boti! Kilichofuata ni ukoo mzima wa kizazi cha panya kuzama na kuangamia.Haipo tena haja ya kumung'unya maneno:
View attachment 2533661
Ukweli ni mchungu lakini inabidi usemwe.
Wizi wao ni wapi usikoonekana?
Ni NHIF, LATRA, TRA, Polisi, Immigration?
Wapi penye unafuu?
Sio tu kwamba CCM ni WEZI bali ni MAJAMBAZI.Haipo tena haja ya kumung'unya maneno:
View attachment 2533661
Ukweli ni mchungu lakini inabidi usemwe.
Wizi wao ni wapi usikoonekana?
Ni NHIF, LATRA, TRA, Polisi, Immigration?
Wapi penye unafuu?
Hivi hii habari ya account ya China ni kweli ?? Na kama ni kweli ni kwanini Serikali ya China isiombwe izirudishe pesa hizo Nchini !! ?? , Au ndio mwendelezo tu wa kuchafua legacy ya Mwamba ??!Huyo mzee tatizo lake ni kuwa alitaka kuwadhibiti wengine ila yeye na genge lake la karibu kukwiba ruksa.
Kumbuka ndiye mwenye account China na makando kando kadhaa ya kufikia 1.5trn/-.
Hatari sana. !!Tatizo lilikuja.. wew unaetaka kuwashughulikia wenzako wakat na wao wanajua uliyopiga serikalini!! Hakuna msafi ndan ya CCM mzee!!