Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
Huyu anatajwa kuwa ni second in Command na tayari shura ya maulamaa imeshakaa na kumpitisha anatarajiwa kutangazwa muda wowote kuanzia sasa. Hezbollah hawapoi ni bandika bandua.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona aliuawa pamoja na nasiraallah?!Huyu anatajwa kuwa ni second in Command na tayari shura ya maulamaa imeshakaa na kumpitisha anatarajiwa kutangazwa muda wowote kuanzia sasa. Hezbollah hawapoi ni bandika bandua.
View attachment 3109628
Hawa Machawa wa Ayatolah inasemekana wengi wameangamia jana pale kwenye shimo.Mbona aliuawa pamoja na nasiraallah?!
Kipigo kingine cha Mbwa KokoHuyu anatajwa kuwa ni second in Command na tayari shura ya maulamaa imeshakaa na kumpitisha anatarajiwa kutangazwa muda wowote kuanzia sasa. Hezbollah hawapoi ni bandika bandua.
View attachment 3109628
Huyu mnampa miezi mingapi kabla hawajamtungua naye?Huyu anatajwa kuwa ni second in Command na tayari shura ya maulamaa imeshakaa na kumpitisha anatarajiwa kutangazwa muda wowote kuanzia sasa. Hezbollah hawapoi ni bandika bandua.
View attachment 3109628
Huyu anatajwa kuwa ni second in Command na tayari shura ya maulamaa imeshakaa na kumpitisha anatarajiwa kutangazwa muda wowote kuanzia sasa. Hezbollah hawapoi ni bandika bandua.
View attachment 3109628
Sasa mbona unalazimisha unaemtaka wewe?Mbona makamu alikuwa Naim Qassem au naye kauawa?
Unatakiwa utambue Kuna baadhi ya jamii hapa duniani kufa sio tatizo kama unavyofikiria weweHuyu mnampa miezi mingapi kabla hawajamtungua naye?
Kwani wapi nimesema hakuna jamii inayoona kufa si tatizo?Unatakiwa utambue Kuna baadhi ya jamii hapa duniani kufa sio tatizo kama unavyofikiria wewe