Pilato2006
Senior Member
- Aug 25, 2008
- 124
- 37
kwahiyo tatizo hapo ni nini sasa? kuchanganya lugha? au kusinzia kwako? au Hasheem?Jana nilikuwa nasikiliza mahojiano kwenye Cloud FM mida kama ya saa 8 hivi ya yule kijana mcheza Baske ball USA, Hashim Thabeet. Kwa niliishiwa nguvu sana pale mtangazaji namuulia vizuri sana ktena kwa kiswahili, lakini yeye kila mara anaanza yuo know... kila mara anachanganya mara kiingereza mara kiswahili. yaani wabongo bwana baala. sema nilikuw a nasinnzia kwenye daladala kwa sababu ya joto a foleni kubwa, kwa hiyo sikufuatila
Juzi serikali imetangaza kutumia kiswahili katika shughuri zote za serikali na hata sheria zitatafsiriwa ktk kiswahili, toba!Kiswahili na Kiingereza zote lugha za taifa!
Hujaweka wazi tatizo nini hasa kwa bwana Hashim kuchanganya lugha. Je hukumwelewa au nini, kuwa muwazi basiJana nilikuwa nasikiliza mahojiano kwenye Cloud FM mida kama ya saa 8 hivi ya yule kijana mcheza Baske ball USA, Hashim Thabeet. Kwa niliishiwa nguvu sana pale mtangazaji namuulia vizuri sana ktena kwa kiswahili, lakini yeye kila mara anaanza yuo know... kila mara anachanganya mara kiingereza mara kiswahili. yaani wabongo bwana baala. sema nilikuw a nasinnzia kwenye daladala kwa sababu ya joto a foleni kubwa, kwa hiyo sikufuatila
kaka, you've nailed it.....ukubwa dawa!Hii thread haina mashiko.............Iondolewe
Jana nilikuwa nasikiliza mahojiano kwenye Cloud FM mida kama ya saa 8 hivi ya yule kijana mcheza Baske ball USA, Hashim Thabeet. Kwa niliishiwa nguvu sana pale mtangazaji namuulia vizuri sana ktena kwa kiswahili, lakini yeye kila mara anaanza yuo know... kila mara anachanganya mara kiingereza mara kiswahili. yaani wabongo bwana baala. sema nilikuw a nasinnzia kwenye daladala kwa sababu ya joto a foleni kubwa, kwa hiyo sikufuatila
Kiswahili na Kiingereza zote lugha za taifa!
Hapo kwenye umeandika ukiwa unakimbizwa?
Lugha yetu ya taifa ni Kiswahili.
Kiingereza ni lugha kwa ajili ya matumizi ya kiofisi.