Hashimu Ibwe awatumia salamu Simba

Hashimu Ibwe awatumia salamu Simba

Frank Wanjiru

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2012
Posts
22,719
Reaction score
40,739
Afisa Habari wa Azam FC, Hashim Ibwe ametuma salamu kwa wapinzani wao Simba SC kwa kusema "Simba jishikilieni tunakuja na balaa tupu" timu hizo zitakutana Septemba 26, 2024.

“Sisi sasa hivi hatujifichi kwenye migongo ya mtu hivyo niwahakikishie kuwa hizo goli nne zinaendelea hivyo mjipange sisi Azam ndiyo tumeanza,” amesema Ibwe.
 
Afisa Habari wa Azam FC, Hashim Ibwe ametuma salamu kwa wapinzani wao Simba SC kwa kusema "Simba jishikilieni tunakuja na balaa tupu" timu hizo zitakutana Septemba 26, 2024.

“Sisi sasa hivi hatujifichi kwenye migongo ya mtu hivyo niwahakikishie kuwa hizo goli nne zinaendelea hivyo mjipange sisi Azam ndiyo tumeanza,” amesema Ibwe.
Wapigwe kama ngoma hao Mikia FC.
 
Afisa Habari wa Azam FC, Hashim Ibwe ametuma salamu kwa wapinzani wao Simba SC kwa kusema "Simba jishikilieni tunakuja na balaa tupu" timu hizo zitakutana Septemba 26, 2024.

“Sisi sasa hivi hatujifichi kwenye migongo ya mtu hivyo niwahakikishie kuwa hizo goli nne zinaendelea hivyo mjipange sisi Azam ndiyo tumeanza,” amesema Ibwe.
Na vindevu vyake kama paka kaonja maziwa
 
Na sisi tunasem tunaendelea tulipoishia msimu uliopita ,,ila huyu msemaji ana shida hivi si alisema Yanga na simba wote wapinzani wake ni wa kawaida kuliko APR🤣🤣🤣
 
Afisa Habari wa Azam FC, Hashim Ibwe ametuma salamu kwa wapinzani wao Simba SC kwa kusema "Simba jishikilieni tunakuja na balaa tupu" timu hizo zitakutana Septemba 26, 2024.

“Sisi sasa hivi hatujifichi kwenye migongo ya mtu hivyo niwahakikishie kuwa hizo goli nne zinaendelea hivyo mjipange sisi Azam ndiyo tumeanza,” amesema Ibwe.
Kale kambilikimo kana utoto mwingi sana
 
Back
Top Bottom