Huyo kasema atachimba mfereji kutiririsha maji ya bahari kwenda Dodoma si ni uchizi fresh huoWapwa
Nilikua naangalia TBC hapa, mbatia kaanza kutema cheche wakakata fasta wakapeleka kwa rungwe
Huku rungwe anasema elimu bure tunadanganywa, gharama bado ni nyingi na mzigo kwa watanzania
Rungwe anasema, akiingia ikulu atauza gari zote za kifahari na viongozi kama ma DC watatembelea gari za kawaida kama Defender
Nimeipenda hii
Chizi fresh sio wewe unakesha unafoji document kutengeneza propaganda.Huyo kasema atachimba mfereji kutiririsha maji ya bahari kwenda Dodoma si ni uchizi fresh huo
Wali upo?Wapwa
Nilikua naangalia TBC hapa, mbatia kaanza kutema cheche wakakata fasta wakapeleka kwa rungwe
Huku rungwe anasema elimu bure tunadanganywa, gharama bado ni nyingi na mzigo kwa watanzania
Rungwe anasema, akiingia ikulu atauza gari zote za kifahari na viongozi kama ma DC watatembelea gari za kawaida kama Defender
Nimeipenda hii
Jamaa halijui hata kama Dodoma IPO juu zaidi ya mita 1000 kutoka Usawa wa bahariHuyo kasema atachimba mfereji kutiririsha maji ya bahari kwenda Dodoma si ni uchizi fresh huo