Hasimamishi tena toka alipopata ajar nifanyeje?

Hizi stori za kutunga huwa unazitoa wapi??
Halafu kunavyoitetea utafikiri ni kweli...

mpendwa kama jina lako ninavyosema ninaomba unitake radhi huwa sipend kuwa muongo kaz yangu ninayofanya ndo inanipa stor kama hz ninaomba 2heshmiane
 
Hizi stori za kutunga huwa unazitoa wapi??<br />
Halafu kunavyoitetea utafikiri ni kweli...
<br />
<br />
Hebu fanya mambo yetu mie cmu inanilimit mno nimeshindwa kutekeleza kazi yangu
 
<br />
<br />
Hebu fanya mambo yetu mie cmu inanilimit mno nimeshindwa kutekeleza kazi yangu

heh! Na wewe unamsikiriza huyo haya hasante vp umeshndwa kulala au jamaa nae hasimami
 
<br /
<br />
Thanx utaiona kesho hakuna ushauri hapa zaidi ya kuomba msamaha kwa ujinga aliofanya tu kwisha sioni mbadala wake
Namnukuu Husninyo: SREDI CLOSED. Umemalza kila kitu. Usiku mwema DA.
 
mpendwa kama jina lako ninavyosema ninaomba unitake radhi huwa sipend kuwa muongo kaz yangu ninayofanya ndo inanipa stor kama hz ninaomba 2heshmiane








Wewe kila siku una stori za wenzio tu...unafanya kazi gani hiyo...Nina wasi wasi...hebu angalia huo mtiririko...Hebu heshimu jukwaa, wengine ni baba au babu zako..
 
heh! Na wewe unamsikiriza huyo haya hasante vp umeshndwa kulala au jamaa nae hasimami
Umeusisitiza tuache porojo tutoe ushauri, sasa mbona wewe unatoka nje ya mada? Au tuamini alichosema Mpendwa story za kutunga???
 
<br />
<br />
Hebu fanya mambo yetu mie cmu inanilimit mno nimeshindwa kutekeleza kazi yangu

huyo, sijui ni under age??


Angalia posts zake;


unapenda tu kuongeza idadi ya posts na vitu vya kutunga..siku utakuja na shida ya ukweli tutashindwa kukushauri vizuri. Jipange upya
 
<font color="blue"><b>Wewe kila siku una stori za wenzio tu...unafanya kazi gani hiyo...Nina wasi wasi...hebu angalia huo mtiririko...Hebu heshimu jukwaa, wengine ni baba au babu zako..</b></font>
<br />
<br />
Nimekugongea thanx my fellow mchunguzi cmu inaniboa mno Thread Closed!!
 
Wewe kila siku una stori za wenzio tu...unafanya kazi gani hiyo...Nina wasi wasi...hebu angalia huo mtiririko...Hebu heshimu jukwaa, wengine ni baba au babu zako..
Atakuwa ni mwandishi wa habari wa kujitegemea! Au mshauri nasaha!
 
<br />
<br />
Umemaliza thanx kwa kutenda vema kazi yetu na huyu tumemaliza kazi
 
Wewe kila siku una stori za wenzio tu...unafanya kazi gani hiyo...Nina wasi wasi...hebu angalia huo mtiririko...Hebu heshimu jukwaa, wengine ni baba au babu zako..

mpendwa kusema ukwel ninafanya kaz ya tax driver magomen hvyo huwa ikifika jion au nikiwa nimechoka huwa ninaweza kubadil kijiwe na kwenda kwngne hvyo kule ninapokwenda kupak ninakutana na wenzangu tofaut tofaut na siku nyngne ninaweza kupata day waka ya magar ya mzigo kwenda mkoan hvyo nikikutana na marafik zangu na kunawengne unaweza usiwaone cunajua kaz zetu hv hvyo ukifika hapo kama hayupo unamuulizia. Kama kakumbwa na maswaiba ndo wanakueleza. Asilimia kubwa huwa wananieleza mimi ni jins gan niwasaidie kutokana na kuaminika sana na huwa sina tabia ya kumwaga ukwel wa mtu na ndo mana unaona kila siku ni mimi na stor mpya sawa MPENDWA
 
Atapona mwambie aende moi kwenye mazoezi kidogokidogo atabadilika, na hana haja ya kutomwambia mkewe sababu yeye hakupanga itokee,na kumbuka kapata ajali kwenye mihangaiko ya kutafuta chapaa ili waishi kwa raha na huyohuyo mkewe, amefikiria vibaya tu, anaweza akamwambia na mpaka akashangaa mke atakavolichukulia
 
Alifanya kosa kubwa kumficha mke wake.

Tiba ya kwanza ni kumweleza mkewe ukweli wa kila kitu na baada ya hapo watafute tiba ya pamoja. Kwa vile aliumia kiuno, inaweza kutokea kwamba hatapona na kurudia hali yake ya kawaida. Mkewe ndiye mtu wa muhimu sana katika kusaka tiba ya ugonjwa wake. Kuendelea kumficha ni kujitafutia ugonjwa mwingine. Mwisho wa siku atajikuta anatibu kiuno wakati hata mke!
 
Wewe kila siku una stori za wenzio tu...unafanya kazi gani hiyo...Nina wasi wasi...hebu angalia huo mtiririko...Hebu heshimu jukwaa, wengine ni baba au babu zako..
Umesahau na ile ya kwenye daladala
 

okay nitamueleza hvyo pia
 
<br />
<br />
Siredi Klozidi...right nenda kwa Shigongo akuajili unafaa sana
Bwahabwahahahahaha! shigongo wakati mwingine anataka true story na ile "my confesion
 
Bwahabwahahahahaha! shigongo wakati mwingine anataka true story na ile "my confesion

hebu jaman 2ache masihara kaz ninayofanya na wa2 wanaonizunguka ndo wananipa haya na asilimia kubwa ni wa2 wangu wa karibu jaman jaman
 
huyo, sijui ni under age??


Angalia posts zake;



unapenda tu kuongeza idadi ya posts na vitu vya kutunga..siku utakuja na shida ya ukweli tutashindwa kukushauri vizuri. Jipange upya

kaka vip mbona kimya huwa sipend kuwa muongo mana ninaamin hapa ndo sehemu ya kupata ushaur kabisa mana kama nitakuwa ninafanya masihara na utan ninafikir wapo wengne ila haya yote niliyoyasema ni watu yamewatokea na mengne yamenitokea mimi mwenyewe kama lile na yule bint wa mdogo wangu na mwengne hvyo ninaamin hapa co sehemu ya kureta masihara wala utan. Kaz ninayofanya ndo inanipa changamoto kama hz. Na pia kuaminika kwangu ndo pananisaidia hv
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…