Hasimamishi tena toka alipopata ajar nifanyeje?

<br />
<br />
Kubali matokeo...

wewe umechoka hebu kalale usinilazimishe kukubal nisichokifanya mana kama ukwel nimeusema unataka nini nikubal ili ushinde au ulizike
 
Waswahili wanasema mficha maradhi mauti yatamuumbua ndiyo hayo,namini kuna zaidi alichokifanya ndio maana alipopata ajali alienda kuugulia kwa uncle wake ili mkewe asijue ,sasa amelikoroga alinywe
 
hebu jaman 2ache masihara kaz ninayofanya na wa2 wanaonizunguka ndo wananipa haya na asilimia kubwa ni wa2 wangu wa karibu jaman jaman

MUREFU imeonesha huna infor kamili la tatizo zima... Kama rafiki wake wa kweli na anahitaji msaada kwako its beta akwambie kweli...
 

tuko pamoja! Inaonekana ni dereva tax maarufu sana..Nitakutafuta hapo Magomeni
 
MUREFU imeonesha huna infor kamili la tatizo zima... Kama rafiki wake wa kweli na anahitaji msaada kwako its beta akwambie kweli...

kusema ukwel yeye alichonieleza ni hcho na mm nimekisema khs lingne. Mm cjui labda anifiche yeye mana ni dereva mwenzetu alitoweka muda kumbe ndo yalimtokea hayo na amerud ameniambia hakuna anaejua zaid ya mm. Yeye huwa anapaki ubungo stend ya mkoa sasa cjui kama anamengne ila cjui zaid ya alichonieleza
 

duh..! Asante sana!..inaonekana wewe ni mtu wa karibu sana kwa marafiki wako. Mi nakupongeza tu, maana nimeona stori zimezidi
 
tuko pamoja! Inaonekana ni dereva tax maarufu sana..Nitakutafuta hapo Magomeni

karibu sana mkuu ila kwa kipind hk cpo dar nipo tanga ninategemea mwez ujao kurud huko
 
kwa kweli bora amwambie ukweli mkewe yan mwisho wake atatombewa asijidai mjanja kabisa kwenye suala la ndoa
 

Nimekuelewa... but inabidi umdadisi kupata ukweli, mana anaonekana si mkweli na mpaka amekwambia wewe ina maana kisha enda hospital, kisha tumia viagra na vimeshindikana. Na hivi umeniambia ni dereva i think atakua amekanya vya watu ambavyo waliweka mtego wa panya...
 
duh..! Asante sana!..inaonekana wewe ni mtu wa karibu sana kwa marafiki wako. Mi nakupongeza tu, maana nimeona stori zimezidi

kama vp kaka for more infor tutachekiana kwny PM kama vg
 
hebu jaman 2ache masihara kaz ninayofanya na wa2 wanaonizunguka ndo wananipa haya na asilimia kubwa ni wa2 wangu wa karibu jaman jaman

Kazi unayo, naona umekaliwa kooni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…