Gentlemen_
JF-Expert Member
- Nov 24, 2019
- 4,431
- 13,876
Huyu tumkaushie tu.. πππ Tumpe hints au tukaushe?
Mke halazimishwi , anakuja mwenyewe mkuuUmri unasonga nahitaj mke
muda mwingine sio kila anae onesha interest anakua anakupenda mwingine anapenda company yako au anapenda tu jinsi unavyompenda usimix mamboNo alipnesha interests za kunipenda, ila mm kuwahisha mambo na hasira zimeniponza
Goodmuda mwingine sio kila anae onesha interest anakua anakupenda mwingine anapenda company yako au anapenda tu jinsi unavyompenda usimix mambo
mtu anaekupenda hawezi kuzika hisia zake chapchap hivo angekutext hata akuulize bado umenunaπ
Mbona unaforce kama ulikuepo? Nawajua wanawake vizuri mno, mimi ndo niliyumba ila she had feelings.muda mwingine sio kila anae onesha interest anakua anakupenda mwingine anapenda company yako au anapenda tu jinsi unavyompenda usimix mambo
mtu anaekupenda hawezi kuzika hisia zake chapchap hivo angekutext hata akuulize bado umenunaπ
tatizo mtoa mada mbishiππππGood
sa nikiforce ntapata nini? me nimekwambia ukweli tuππππhaya kamuombe msamaha muendelee mwaya this time atakupeaMbona unaforce kama ulikuepo? Nawajua wanawake vizuri mno, mimi ndo niliyumba ila she had feelings.
π
Let it go. If she comes back she is yours. If not, she wasn't mean to be.I just let, an honest gal slip over my hands and it sucks
Mkuu lengo langu ni kurudisha mahusiano Yao!Acha kutamani vya watu
She was and not she is .....Tatizo ni kuwa she was a wife material
Hela wengine saiz sio priority kivile
Sometimes kiswanglish hakinogi wala nini, inategemea na muongeaji au mwandikaji anakitumia kwenye maelezo gani. Kama huyu dahπ€£π€£Watoto wa English medium bana
Hapa hakuna mtu mzima zaidi ya dogo aliyemaliza mtihani form six HKLKatie huruma....
Sema hizo unazoita 'strategies' mbona ni mambo ya watoto mkuu,
Haya mambo hayana strategies unaenda kama ulivyo