Hasira kila mahali, Kenya Power yapandisha bei ya Umeme

Hasira kila mahali, Kenya Power yapandisha bei ya Umeme

BARD AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
3,591
Reaction score
8,826
Wakenya watalazimika kulipa pesa zaidi kutoka mifukoni mwao ili kukidhi ongezeko la gharama ya umeme.

Hii ni baada ya kampuni ya Kenya Power kuanza kutekeleza ongezeko la asilimia 21 ya malipo ya umeme ambayo ilitangazwa kimya kimya mwezi uliopita na Mamlaka ya Kudhibiti Nishati na Petroli (EPRA), na hivyo kuongeza gharama ya huduma hiyo muhimu.

Kwa Tsh. 9,676, mtu mmoja kwa sasa anapqta uniti 19.84 za umeme. Kiasi kama hicho cha pesa kilinunua uniti 22.87 wiki iliyopita tu, na unit 25.55 mwishoni mwa Agosti.

EPRA mwezi uliopita, katika taarifa ya gazeti la serikali, iliongeza kimyakimya gharama ya umeme kwa 21%, ilitoza gharama ya unit moja kutoka Tsh. 464.46 hadi Tsh. 489.62 kwa watumiaji wa nyumbani, kutoka Tsh. 423.24 Januari mwaka huu.
 
MK254 yasadikika raisi amekuta kibubu cha taifa kimefilisika?
Wakati kabla ya kampeni, wakati wa kampeni na hatimaye uchaguzi kibubu kilifilimbwa vilivyo sasa uchaguzi umeisha taifa halina kitu

WR anaweza kuwa one term president maana wafuasi wa RO wakipewa backup na UK watapata sababu ya kulianzisha na akikaa vibaya hata term moja anaweza asiimalize
 
Sisi mbona tunanunua umeme kwa tshs 10,000 tunapata units 14.4 tu, ni sawa haijapanda sana, sema upinzani wa publish kila kitu kumchafua Ruto, ila wanacho shindwa kufiri vema, tokea upinzani walikuwa na Serikali na vyombo vyote walishindwa kumdhibiti na kumchafua Ruto, leo hii ni Rais wa Kenya wataweza? Ujue ukiwa na akili ndogo ni sawa na mtumwa tu, akili ndogo ni utumwa, leo kamwe hata umchafue vipi Ruto, unapoteza muda wako tu, na hawawezi.
 
Sisi mbona tunanunua umeme kwa tshs 10,000 tunapata units 14.4 tu, ni sawa haijapanda sana, sema upinzani wa publish kila kitu kumchafua Ruto, ila wanacho shindwa kufiri vema, tokea upinzani walikuwa na Serikali na vyombo vyote walishindwa kumdhibiti na kumchafua Ruto, leo hii ni Rais wa Kenya wataweza? Ujue ukiwa na akili ndogo ni sawa na mtumwa tu, akili ndogo ni utumwa, leo kamwe hata umchafue vipi Ruto, unapoteza muda wako tu, na hawawezi.
Acha uongo wewe hakunu kitu cha hivyo tz
 
Wakenya watalazimika kulipa pesa zaidi kutoka mifukoni mwao ili kukidhi ongezeko la gharama ya umeme.

Hii ni baada ya kampuni ya Kenya Power kuanza kutekeleza ongezeko la asilimia 21 ya malipo ya umeme ambayo ilitangazwa kimya kimya mwezi uliopita na Mamlaka ya Kudhibiti Nishati na Petroli (EPRA), na hivyo kuongeza gharama ya huduma hiyo muhimu.

Kwa Tsh. 9,676, mtu mmoja kwa sasa anapqta uniti 19.84 za umeme. Kiasi kama hicho cha pesa kilinunua uniti 22.87 wiki iliyopita tu, na unit 25.55 mwishoni mwa Agosti.

EPRA mwezi uliopita, katika taarifa ya gazeti la serikali, iliongeza kimyakimya gharama ya umeme kwa 21%, ilitoza gharama ya unit moja kutoka Tsh. 464.46 hadi Tsh. 489.62 kwa watumiaji wa nyumbani, kutoka Tsh. 423.24 Januari mwaka huu.
Tumshukuru Putin! Ni matokeo ya vita yake.
 
Wakenya watalazimika kulipa pesa zaidi kutoka mifukoni mwao ili kukidhi ongezeko la gharama ya umeme.

Hii ni baada ya kampuni ya Kenya Power kuanza kutekeleza ongezeko la asilimia 21 ya malipo ya umeme ambayo ilitangazwa kimya kimya mwezi uliopita na Mamlaka ya Kudhibiti Nishati na Petroli (EPRA), na hivyo kuongeza gharama ya huduma hiyo muhimu.

Kwa Tsh. 9,676, mtu mmoja kwa sasa anapqta uniti 19.84 za umeme. Kiasi kama hicho cha pesa kilinunua uniti 22.87 wiki iliyopita tu, na unit 25.55 mwishoni mwa Agosti.

EPRA mwezi uliopita, katika taarifa ya gazeti la serikali, iliongeza kimyakimya gharama ya umeme kwa 21%, ilitoza gharama ya unit moja kutoka Tsh. 464.46 hadi Tsh. 489.62 kwa watumiaji wa nyumbani, kutoka Tsh. 423.24 Januari mwaka huu.
Rugufuli ndani ya nyumba Kenya!
 
Back
Top Bottom