Christopher Wallace
JF-Expert Member
- Dec 8, 2015
- 1,479
- 3,788
Ulichoandika sio unafiki ,imekutoka moyoniNmefurahi sana jamaa kurejea
Zipo automatic hizo haaaa haaaaOKW BOBAN SUNZU una tatizo la kujisikia kichefuchefu?
UYu si walishamtema kutokana na majerahHassan Dilunga amerejea tena Simba Sc mara baada ya kuwa nje ya uwanja kwa muda mrefu.
Picha zimemuonesha HD akiwa mazoezini huku akitupia jezi mpya za mazoezi za Simba SC.
Hii itakuwa habari njema kwa Wana Simba na Taifa Stars.View attachment 2551382View attachment 2551385
Ana assist ngapi na goli ngapiHassan Dilunga amerejea tena Simba Sc mara baada ya kuwa nje ya uwanja kwa muda mrefu...
Anafanya tu mazoezi kama FeisalKwani bado ana mkataba na simba? Au anafanya tu mazoezi kwa ajili ya utimamu wa mwili?
Wazedi wa Nkana na Red Arrows wanamtambua na hawataki kumsikiaAna assist ngapi na goli ngapi
Hakuna unafiki,jamaa namkubali sana anaujuaUlichoandika sio unafiki ,imekutoka moyoni