Hassan Dilunga HD, ndiyo basi tena?

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
10,931
Reaction score
24,816
Huyu mchezaji sikumbuki kama aliachwa Simba au bado yupo. Ila ni muda sana sijamsikia. Mpaka nilipokuja soma hii post. Je kwenye mpira ndo basi tena? Je simba ndo basi tena?

 
Pamoja na kipengele mlichonacho leo bado stori kubwa ni Dilunga?
 
Hivi usikute mashabiki wa simba hawajui hata alipo huyu aliyekuwa mchezaji wao muhimu kwenye kikosi chao! Ila ukiwauliza kuhusu Kambole, wanakijua mpaka chumba anacholala.
Sasa kama mkataba wake na Simba umekwisha unataka tujue aliko ili iweje? Ama kweli wenye akili timamu ni wawili tu huko gongowazi
 
Sasa kama mkataba wake na Simba umekwisha unataka tujue aliko ili iweje? Ama kweli wenye akili timamu ni wawili tu huko gongowazi
Una uhakika aliumia baada ya mkataba wake kuisha? Mchezaji anaitumikia timu kwa moyo! Anaumia akiwa kazini! Mkataba wake unamalizika, mnamtelekeza!!

Mnashindwa hata kujifunza kwa kaka zenu Yanga!! Walimhudumia Mapinduzi Balama kwa kila kitu mpaka pale alipo pona kabisa, ndipo wakampa mkono wa kwaheri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…