Hassan Dilunga HD, ndiyo basi tena?

Japokuwa ukiwa Yanga akili zinafubaa,lakini jaribu kuwatendea haki wazazi wako waliokupeleka shule kwa kutumia vizuri hizo akili kiduchu zilizobaki kwa kusema ukweli. Dilunga mkataba umekwisha lakini anaendelea kuhudumiwa na Simba kwa misingi ya ubinadamu na hili limeshatolewa maelezo mara nyingi na uongozi wa Simba. Ukweli huu hata wewe unaujua ila kwa kudumisha uyanga wako ndiyo umekuja na hii hoja yako muflisi.
 
Simba walipotaka kumpatia matibabu ya uhakika akasema anaenda kujitibu mwenyewe kama alivyojibu ali mtoni sonso sasa dilunga atakuwa yupo kigoma huko au kwa mzee msisi anapatiwa matibabu soka letu kivyetu vyetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…