Mkuu, sio bila masharti yoyote. Hukumu ni kwamba anaruhusiwa kuichezea Yanga muda wowote kuanzia sasa lakini baada ya kuilipa Simba sh. milioni mia mbili (200M) kama fidia ya kuvunja mkataba. Kumbuka Kessy alianza kuitumikia Yanga kabla hajamaliza mkataba uliokuwa unaisha Juni 17Baada ya kelele kadhaa NA dhihaka zisizo NA msingii kamati ya sheria NA hadhi ya wachezaji imeidhinisha rasmi mchana jina la HASSAN KESSY KUICHEZEA YANGA BILA MASHARTI YOOYOTE
Ubabaishaji mwingi sana Simba, mara timu ikodishwe, mara mtu asuse, mara mzee achimbe mkwara kwamba mwenye ubavu avamie nyumbani kwangu! Fujo tupu Msimbazi!Afadhali kijana wa watu apumue Yanga na Simba ubabaishaji mwingi,mambo yapo Azam
1.Kessy alikuwa anaitwa mamluki alivyokuwa Simba (Viongozi ndio walisababisha wanachama/wapenzi nao wakaamini) Wakaanza kumzomea na kumtukanaSimba sasa wapeleke madai yao Yanga. Yatafikiriwa lakini haitazuia Kessy kuichezea Yanga.
Hans Poppe anawepelekesha sana Simba. Cha ajabu ni mtu was kuteuliwa tu kwenye kamati lakini sauti kuliko aliyemteua1.Kessy alikuwa anaitwa mamluki alivyokuwa Simba (Viongozi ndio walisababisha wanachama/wapenzi nao wakaamini) Wakaanza kumzomea na kumtukana
1.Simba hawakumtaka Kessy ndio maana waligoma kumuongezea mkataba mapema baada ya yeye kudai madai ya mkataba uliokuwa unaisha
2.Baada ya mechi ya Toto Simba walimfungia Kessy mechi 5 na asingecheza tena hadi msimu unaisha na mkataba wake ungeisha
3.Kessy kusafiri na timu sio kigezo kuwa amesajiliwa/kusaini mkataba
4.Sijui Hans Pope atajifunza lini issue ya Twite, Yondani, Ngasa, Singano, Tambwe, Maguri, Kiiza zote amechemsha
Huyu jamaa sijui tatizo ni elimu, au huwa anajitoa ufahamu makusudi ??1.Kessy alikuwa anaitwa mamluki alivyokuwa Simba (Viongozi ndio walisababisha wanachama/wapenzi nao wakaamini) Wakaanza kumzomea na kumtukana
1.Simba hawakumtaka Kessy ndio maana waligoma kumuongezea mkataba mapema baada ya yeye kudai madai ya mkataba uliokuwa unaisha
2.Baada ya mechi ya Toto Simba walimfungia Kessy mechi 5 na asingecheza tena hadi msimu unaisha na mkataba wake ungeisha
3.Kessy kusafiri na timu sio kigezo kuwa amesajiliwa/kusaini mkataba
4.Sijui Hans Pope atajifunza lini issue ya Twite, Yondani, Ngasa, Singano, Tambwe, Maguri, Kiiza zote amechemsha
Duh!1.Kessy alikuwa anaitwa mamluki alivyokuwa Simba (Viongozi ndio walisababisha wanachama/wapenzi nao wakaamini) Wakaanza kumzomea na kumtukana
1.Simba hawakumtaka Kessy ndio maana waligoma kumuongezea mkataba mapema baada ya yeye kudai madai ya mkataba uliokuwa unaisha
2.Baada ya mechi ya Toto Simba walimfungia Kessy mechi 5 na asingecheza tena hadi msimu unaisha na mkataba wake ungeisha
3.Kessy kusafiri na timu sio kigezo kuwa amesajiliwa/kusaini mkataba
4.Sijui Hans Pope atajifunza lini issue ya Twite, Yondani, Ngasa, Singano, Tambwe, Maguri, Kiiza zote amechemsha