Hassan Mwakinyo aendeleza ubabe ashinda mikanda 2 baada ya kumtwanga Sinkala kwa TKO

craq

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2017
Posts
859
Reaction score
1,866
Usiku wa kuamkia Leo Bondia Hassan Mwakinyo alimgaragaza bondia Joseph Sinkala kutoka Dar kwenye round ya 2 kwa TKO na hivyo Mwakinyo kupata mikanda 2.


Jionee jinsi Bondia Sinkala alivyopigwa TKO
 
Usiku wa kuamkia Leo Bondia Hassan Mwakinyo alimgaragaza bondia Joseph Sinkala kutoka Dar kwenye round ya 2 kwa TKO na hivyo Mwakinyo kupata mikanda 2.


Jionee jinsi Bondia Sinkala alivyopigwa TKO
yaani huyu mwakinyo bado anacheza disko vumbi tu?
 
Akumbuke wenzake pia hujifua. Wakishajua mbinu zake anakufa asubuhi tu kabla mashabiki hawajafika.
 
Usiku wa kuamkia Leo Bondia Hassan Mwakinyo alimgaragaza bondia Joseph Sinkala kutoka Dar kwenye round ya 2 kwa TKO na hivyo Mwakinyo kupata mikanda 2.


Jionee jinsi Bondia Sinkala alivyopigwa TKO
Waache kupambanisha mabondia wandani, wamtafutie bondia anaye eleweka atetee mkandawake kwenye Mashilikisho ya ngumi yenye vigogo ndipo thamani yake iongezeke.
 
Waache kupambanisha mabondia wandani, wamtafutie bondia anaye eleweka atetee mkandawake kwenye Mashilikisho ya ngumi yenye vigogo ndipo thamani yake iongezeke.
Halafu awe maarufu kuliko kambale? Humtakii mema wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…