GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Amesema kwamba kuanzia leo hadi kufa Kwake atakuwa anaitwa au atakuwa anajulikana hasa kwa majina haya mapya ya Hassan Ngoma Mange Kimambi Dotto Bahemu. Nadhani hili ni ' Jiwe ' kubwa alilolirusha ' Gizani ' na nadhani mpaka muda huu tayari litakuwa limeshampata Mtu kama pia siyo kumjeruhi.
Mjumbe hauwawi kamwe!
Nawasilisha.
Mjumbe hauwawi kamwe!
Nawasilisha.