GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
mange kasemaUmbea hatutaki!!chanzo cha habari???
For happiness of the majorityKazi bado anayo kweli?
Umbea hatutaki!!chanzo cha habari???
Kazi bado anayo kweli?
Akirudia tena kucomment kwako utanidai elfu10 [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Kama hiyo taarifa nimeitoa muda si mrefu kutokea Clouds tv 360 muda si mrefu unadhani hapo ' Source ' ya hiyo taarifa itakuwa wapi? Pumbavu.
Dada yupi huyo mkuu? Babies Kabaye ama Zamaradi Mketema? Ama yupi huyo?Mbona Dada alisema kafukuzwa kazi?