Tetesi: Hassanali kuhamia CCM ndio kisa cha Lowassa kwenda Ikulu na CHADEMA kumchukia Lowassa kuwa kapeleka siri zao

Tetesi: Hassanali kuhamia CCM ndio kisa cha Lowassa kwenda Ikulu na CHADEMA kumchukia Lowassa kuwa kapeleka siri zao

YEHODAYA

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2015
Posts
36,902
Reaction score
52,001
Hassanali Mjumbe wa bodi ya wadhamini Chadema mwenye siri za fedha zote za Chadema kuhamia CCM ndiko kulimkimbiza Lowasa kwenda kumwona Magufuli akihisi siri zote za pesa za Chadema zimemwagwa kuanzia pesa chafu za kampeni ya uraisi 2015 na vyanzo vyake vyote na wachangiaji wote. Lowassa akahisi haponi atadakwa na mtandao wake kwani faili limetua penyewe.

Chadema kumuwakia Lowasa ni kuhisi kuwa Lowasa kampelekea Magufuli Flash ya documents na faili la mambo yao yote kwenye flash kama alivyofanya Nassari na kaflash kake alikopeleka Takukuru.

Sasa hivi Chadema wana hasira na Lowassa na Hassanali.Wanajiona wako uchi.Mambo yao yote ya siri yako mikononi mwa Magufuli ndio maana Mbowe,Lema,Lisu na akina mashinji na wapiga deal na wala ruzuku chadema wanatapa tapa.
======================================

Ufipa-Kinondoni, said:

Lowassa amekwenda Ikulu kukutana na Rais ili aweze pata nafuu katika mambo yafuatayo:

i) Kumnasua mkwe wake, Sioi anayeozea jela kwa kosa la uhujumu uchumi. Huyu alikuwa mwanasheria wa benki ya Standard Charter Tanzania wakati wa kupitisha hela za ESCROW. Mpaka sasa kwa miaka kama miwili amekuwa ndani bila mashitaka kwa vile ni Uhujumu Uchumi. Na jambo lililowazi ni kuwa huyu jamaa alikuwa amehamia CHADEMA na kutaka kugombea Ubunge dhidi ya Nasari pale Arumeru.

ii) Kunasua utajiri wake wa kutisha anaomiliki mpaka sasa katika taifa hili. Inajulikana kuwa yeye ni moja ya wanasiasa matajiri na wanaomiliki mashamba mengi hasa yaliyokuwa yanamilikiwa na serikali. Mpaka sasa ni mashamba mengi sana yaliyochukuliwa na serikali na kugawiwa kwa wananchi.

iii) Jambo la tatu ilikuwa kurudisha taarifa yake juu ya kufanikisha kuhujumu CHADEMA na Mbowe kwa sababu ya mgogoro wao wa uongozi. Hii ni siri sana kwa wengi ila ni kuwa mgogoro huu ndo umefanya wafuasi wote wa EL aanze kuwarudisha CCM na yeye akifuata. Umetokana na maono ya jinsi ya kuendesha siasa. EL ni muumini wa siasa na si harakati wakati Mbowe anataka Harakati zaidi. Hivyo mgongano huu ndo ukaleta kutoelewa kabisa kwa maana Mbowe aliona EL anataka kumiliki chama kwa kufuata falsafa zake. Inasemekana mwisho wa mgogoro Lowassa alisema Mbowe atamkomoa kwa kuwaondoa wafuasi wake CHADEMA ndo kinachooneka sasa. The Great Migration.

Katika haya unaweza jua vizuri lkuwa Lowassa anafanya siasa za maslahi zaidi ya kuendeleza siasa za wote.

Hii ni taarifa tu.
 
JPM haitaji hao wawili kumpa data.. kama wamempa ni wao kujipendekeza.. kwa kuwa lazima anazo hata zaidi ya walizowapatia kama wametoa kweli.

Lingine Lowassa kwenda tu Ikulu kumeonyesha pia nchi yetu pendwa ina amani.. na wale wenzake hawapendi.. wanataka ugomvi ugomvi tu kwa kuwa hawana jipya la kuendeleza/kusaidia wananchi.. ni makapuku pwaaaaa.. wao matumbo mbele tu pesa pesa

Raisi wetu ni supa kwa kuwa dakika tano mbele.
 
Tatizo la kufikiri kwa kutumia makalio ndio hilo, Shame on you, Jitu zima bado unafikiri kwa kutumia makalio, Hicho kichwa juu ya mabega usikifanye mzigo kama mizigo mingine
Kashifa za Nini Mkuu?, katoa maoni yake, Kila siku mnapigia kelele Uhuru wa kujieleza, ungepita tu kimya kimya ingetosha
 
Kwani wakati wa kampeni pesa zilitumikaje ?
Si tu zilitumikaje ,kuna swali la zilitoka kwa nani na alizitoa wapi vyanzo halali ,haramu au wizi au deal au utakatishaji fedha?
 
Hassanali Mjumbe wa bodi ya wadhamini Chadema mwenye siri za fedha zote za Chadema kuhamia CCM ndiko kulimkimbiza Lowasa kwenda kumwona Magufuli akihisi siri zote za pesa za Chadema zimemwagwa kuanzia pesa chafu za kampeni ya uraisi 2015 na vyanzo vyake vyote na wachangiaji wote.Lowasa akahisi haponi atadakwa na mtandao wake kwani faili limetua penyewe.Chadema kumuwakia Lowasa ni kuhisi kuwa Lowasa kampelekea Magufuli Flash ya documents na faili LA mambo yao yote kwenye flash kama alivyofanya Nassari na kaflash kake alikopeleka Takukuru.Sasa hivi Chadema wana hasira na Lowasa na Hassanali .Wanajiona wako uchi.Mambo yao yote ya siri yako mikononi mwa Magufuli ndio maana mbowe,lema,Lisu na akina mashinji na wapiga deal na wala ruzuku chadema wanatapa tapa.
Mawazo ya kichawi unapoyaleta ktk ulimwengu wa kistaarabu na ukayaamini yanaweza kukupa ujasiri wa kulala na mkweo na ukaona haujakosea
 
JPM haitaji hao wawili kumpa data.. kama wamempa ni wao kujipendekeza.. kwa kuwa lazima anazo hata zaidi ya walizowapatia kama wametoa kweli.

Lingine Lowassa kwenda tu Ikulu kumeonyesha pia nchi yetu pendwa ina amani.. na wale wenzake hawapendi.. wanataka ugomvi ugomvi tu kwa kuwa hawana jipya la kuendeleza/kusaidia wananchi.. ni makapuku pwaaaaa.. wao matumbo mbele tu pesa pesa

Raisi wetu ni supa kwa kuwa dakika tano mbele.
Sasa Lowasa anapandishwa lini mahakamani kwa kesi za ufidadi?
 
Daaahh..
Mleta hii MADA jamaa bado wapo kwenye MASIKITIKO MAKUBWA ndio unazidi kuwaongezea MAUMIVU
kwamaana hii mada yako inaonekana kuwa inagonga PALEPALE

Ndiomaana POLEPOLE(k/mwenezi ccm)aliposema kuwa kuna kiongozi mkubwa wa upinzani tunategemea kumpokea CCM,watu walibeza saaana kwa kudai kuwa anataka tena kununua wengine lkn cha ajabu aliohama ni TAJIRI(milionea)[emoji3]
Huyo ndio kawamaliza kabxaaa hakuna aliesema hasanali kanunuliwa hadi mda huu[emoji3]kwasbb wanamfaham jamaa ndio lidhamini lao la chama
 
Mpaka sasa Chadema kimeshindwa kutimiza ndoto za wafuasi wake. Wafuasi wake wakipuuze na kutafuta mbadala wake.
 
JPM haitaji hao wawili kumpa data.. kama wamempa ni wao kujipendekeza.. kwa kuwa lazima anazo hata zaidi ya walizowapatia kama wametoa kweli.

Lingine Lowassa kwenda tu Ikulu kumeonyesha pia nchi yetu pendwa ina amani.. na wale wenzake hawapendi.. wanataka ugomvi ugomvi tu kwa kuwa hawana jipya la kuendeleza/kusaidia wananchi.. ni makapuku pwaaaaa.. wao matumbo mbele tu pesa pesa

Raisi wetu ni supa kwa kuwa dakika tano mbele.
fisadi mkuu anakaribishwa ikulu ??????
 
Mpaka sasa Chadema kimeshindwa kutimiza ndoto za wafuasi wake. Wafuasi wake wakipuuze na kutafuta mbadala wake.
Meli nyingine iliyosajiliwa Tanzania imekamatwa Ugiriki huko na milipuko, nyinyi endeleeni tu na siasa nyepesi
 
jRZbdEdi.jpg


Lowassa amekwenda Ikulu kukutana na Rais ili aweze pata nafuu katika mambo yafuatayo:

i) Kumnasua mkwe wake, Sioi anayeozea jela kwa kosa la uhujumu uchumi. Huyu alikuwa mwanasheria wa benki ya Standard Charter Tanzania wakati wa kupitisha hela za ESCROW. Mpaka sasa kwa miaka kama miwili amekuwa ndani bila mashitaka kwa vile ni Uhujumu Uchumi. Na jambo lililowazi ni kuwa huyu jamaa alikuwa amehamia CHADEMA na kutaka kugombea Ubunge dhidi ya Nasari pale Arumeru.

ii) Kunasua utajiri wake wa kutisha anaomiliki mpaka sasa katika taifa hili. Inajulikana kuwa yeye ni moja ya wanasiasa matajiri na wanaomiliki mashamba mengi hasa yaliyokuwa yanamilikiwa na serikali. Mpaka sasa ni mashamba mengi sana yaliyochukuliwa na serikali na kugawiwa kwa wananchi.

iii) Jambo la tatu ilikuwa kurudisha taarifa yake juu ya kufanikisha kuhujumu CHADEMA na Mbowe kwa sababu ya mgogoro wao wa uongozi. Hii ni siri sana kwa wengi ila ni kuwa mgogoro huu ndo umefanya wafuasi wote wa EL aanze kuwarudisha CCM na yeye akifuata. Umetokana na maono ya jinsi ya kuendesha siasa. EL ni muumini wa siasa na si harakati wakati Mbowe anataka Harakati zaidi. Hivyo mgongano huu ndo ukaleta kutoelewa kabisa kwa maana Mbowe aliona EL anataka kumiliki chama kwa kufuata falsafa zake. Inasemekana mwisho wa mgogoro Lowassa alisema Mbowe atamkomoa kwa kuwaondoa wafuasi wake CHADEMA ndo kinachooneka sasa. The Great Migration.

Katika haya unaweza jua vizuri lkuwa Lowassa anafanya siasa za maslahi zaidi ya kuendeleza siasa za wote.

Hii ni taarifa tu.
 
Back
Top Bottom