Mkuu hivi unajua hela za kampeni za ccm zilikotoka? Ccm hamwezi kumdaka mwizi ilihali ndani kwenu kuna jambazi...Si tu zilitumikaje ,kuna swali la zilitoka kwa nani na alizitoa wapi vyanzo halali ,haramu au wizi au deal au utakatishaji fedha?
Haahah!!! Wee matola nimecheka sana, kuna watu wanakera sana hadi unajihoji mwenyewe kama kweli huyu uvccm wanatumia akili kufikiriMeli nyingine iliyosajiliwa Tanzania imekamatwa Ugiriki huko na milipuko, nyinyi endeleeni tu na siasa nyepesi za kujitia dole wenyewe halafu unanusa.
Maana ya mada ni kujikita mada husika tu ukitoka nje unakuwa umechemka wazungu wanaita Off point!!!!!!!!!!!!Sasa kama unataka kupangia watu cha kuandika ni kwa nini usingefunguwa huu mjadala na mumeo chumbani na hiki kiwingu cha leo mbona mjadala wenu ungenoga kitandani?
unapoandika kitu angalia thamani yako na jinsi unavyoweza kuwathamini wengine, ukiwadharau watu kwa kiasi hiki wewe watakudharau zaidi na kwa harakaharaka kunaudhaifu au ukweli wa jinsi unavyoumizwa umefichwa katika matamshi yako.Tatizo la kufikiri kwa kutumia makalio ndio hilo, Shame on you, Jitu zima bado unafikiri kwa kutumia makalio, Hicho kichwa juu ya mabega usikifanye mzigo kama mizigo mingine
Chadema hawajielewi Yale magari mengi ya kampeni za M4C na helikopta kibao zilizotumiwa na Chadema na mipesa kibao iliyomwagwa kwa bodaboda,mamilioni ya michango ya harambee , na ndege za kukodi na misafara ya gari za kukodi kwenye kampeni nk hawajui kuwa ilikuwa kazi za akina Hassanali .!!!! Wacha wamponde ila wamepoteza kifaaa hasa.2020 wataendesha kampeni kwa kutembea kwa miguu Yale mahelikopta na mandege wasahauHuyu Muhindi ndio Signatory Mmoja kati ya wawili wa ruzuku ya Chama, Mjumbe wa Kamati kuu na Mjumbe wa Bodi ya Wadhamini wa Chadema Halafu Makarai yansema sio Mtu Mkubwa Chadema
Mods achen zenu mm nimeandika chadomo nna maana yangu nyie mnacorect ya kazi gan?Chadema soon inakwisha kwisha kabisa
Chedema hawatapiga kampeni 2020.Chadema hawajielewi Yale magari mengi ya kampeni za M4C na helikopta kibao zilizotumiwa na Chadema na mipesa kibao iliyomwagwa kwa bodaboda na ndege za kukodi na misafara ya gari za kukodi kwenye kampeni hawajui kuwa ilikuwa kazi za akina Hassanali .!!!! Wacha wamponde ila wamepoteza kifaaa hasa.2020 wataendesha kampeni kwa kutembea kwa miguu Yale mahelikopta na mandege wasahau
umesema kweli tupuHassanali Mjumbe wa bodi ya wadhamini Chadema mwenye siri za fedha zote za Chadema kuhamia CCM ndiko kulimkimbiza Lowasa kwenda kumwona Magufuli akihisi siri zote za pesa za Chadema zimemwagwa kuanzia pesa chafu za kampeni ya uraisi 2015 na vyanzo vyake vyote na wachangiaji wote. Lowassa akahisi haponi atadakwa na mtandao wake kwani faili limetua penyewe.
Chadema kumuwakia Lowasa ni kuhisi kuwa Lowasa kampelekea Magufuli Flash ya documents na faili la mambo yao yote kwenye flash kama alivyofanya Nassari na kaflash kake alikopeleka Takukuru.
Sasa hivi Chadema wana hasira na Lowassa na Hassanali.Wanajiona wako uchi.Mambo yao yote ya siri yako mikononi mwa Magufuli ndio maana Mbowe,Lema,Lisu na akina mashinji na wapiga deal na wala ruzuku chadema wanatapa tapa.
======================================
Ufipa-Kinondoni, said:
Lowassa amekwenda Ikulu kukutana na Rais ili aweze pata nafuu katika mambo yafuatayo:
i) Kumnasua mkwe wake, Sioi anayeozea jela kwa kosa la uhujumu uchumi. Huyu alikuwa mwanasheria wa benki ya Standard Charter Tanzania wakati wa kupitisha hela za ESCROW. Mpaka sasa kwa miaka kama miwili amekuwa ndani bila mashitaka kwa vile ni Uhujumu Uchumi. Na jambo lililowazi ni kuwa huyu jamaa alikuwa amehamia CHADEMA na kutaka kugombea Ubunge dhidi ya Nasari pale Arumeru.
ii) Kunasua utajiri wake wa kutisha anaomiliki mpaka sasa katika taifa hili. Inajulikana kuwa yeye ni moja ya wanasiasa matajiri na wanaomiliki mashamba mengi hasa yaliyokuwa yanamilikiwa na serikali. Mpaka sasa ni mashamba mengi sana yaliyochukuliwa na serikali na kugawiwa kwa wananchi.
iii) Jambo la tatu ilikuwa kurudisha taarifa yake juu ya kufanikisha kuhujumu CHADEMA na Mbowe kwa sababu ya mgogoro wao wa uongozi. Hii ni siri sana kwa wengi ila ni kuwa mgogoro huu ndo umefanya wafuasi wote wa EL aanze kuwarudisha CCM na yeye akifuata. Umetokana na maono ya jinsi ya kuendesha siasa. EL ni muumini wa siasa na si harakati wakati Mbowe anataka Harakati zaidi. Hivyo mgongano huu ndo ukaleta kutoelewa kabisa kwa maana Mbowe aliona EL anataka kumiliki chama kwa kufuata falsafa zake. Inasemekana mwisho wa mgogoro Lowassa alisema Mbowe atamkomoa kwa kuwaondoa wafuasi wake CHADEMA ndo kinachooneka sasa. The Great Migration.
Katika haya unaweza jua vizuri lkuwa Lowassa anafanya siasa za maslahi zaidi ya kuendeleza siasa za wote.
Hii ni taarifa tu.
Naona umeshaanza tena kuchanganyikiwaJPM haitaji hao wawili kumpa data.. kama wamempa ni wao kujipendekeza.. kwa kuwa lazima anazo hata zaidi ya walizowapatia kama wametoa kweli.
Lingine Lowassa kwenda tu Ikulu kumeonyesha pia nchi yetu pendwa ina amani.. na wale wenzake hawapendi.. wanataka ugomvi ugomvi tu kwa kuwa hawana jipya la kuendeleza/kusaidia wananchi.. ni makapuku pwaaaaa.. wao matumbo mbele tu pesa pesa
Raisi wetu ni supa kwa kuwa dakika tano mbele.
unaujua utajiri wa MKAPA?......KINANA?...JK?.....CHENGE?........Mtoto wa mkulima?........Hassanali Mjumbe wa bodi ya wadhamini Chadema mwenye siri za fedha zote za Chadema kuhamia CCM ndiko kulimkimbiza Lowasa kwenda kumwona Magufuli akihisi siri zote za pesa za Chadema zimemwagwa kuanzia pesa chafu za kampeni ya uraisi 2015 na vyanzo vyake vyote na wachangiaji wote. Lowassa akahisi haponi atadakwa na mtandao wake kwani faili limetua penyewe.
Chadema kumuwakia Lowasa ni kuhisi kuwa Lowasa kampelekea Magufuli Flash ya documents na faili la mambo yao yote kwenye flash kama alivyofanya Nassari na kaflash kake alikopeleka Takukuru.
Sasa hivi Chadema wana hasira na Lowassa na Hassanali.Wanajiona wako uchi.Mambo yao yote ya siri yako mikononi mwa Magufuli ndio maana Mbowe,Lema,Lisu na akina mashinji na wapiga deal na wala ruzuku chadema wanatapa tapa.
======================================
Ufipa-Kinondoni, said:
Lowassa amekwenda Ikulu kukutana na Rais ili aweze pata nafuu katika mambo yafuatayo:
i) Kumnasua mkwe wake, Sioi anayeozea jela kwa kosa la uhujumu uchumi. Huyu alikuwa mwanasheria wa benki ya Standard Charter Tanzania wakati wa kupitisha hela za ESCROW. Mpaka sasa kwa miaka kama miwili amekuwa ndani bila mashitaka kwa vile ni Uhujumu Uchumi. Na jambo lililowazi ni kuwa huyu jamaa alikuwa amehamia CHADEMA na kutaka kugombea Ubunge dhidi ya Nasari pale Arumeru.
ii) Kunasua utajiri wake wa kutisha anaomiliki mpaka sasa katika taifa hili. Inajulikana kuwa yeye ni moja ya wanasiasa matajiri na wanaomiliki mashamba mengi hasa yaliyokuwa yanamilikiwa na serikali. Mpaka sasa ni mashamba mengi sana yaliyochukuliwa na serikali na kugawiwa kwa wananchi.
iii) Jambo la tatu ilikuwa kurudisha taarifa yake juu ya kufanikisha kuhujumu CHADEMA na Mbowe kwa sababu ya mgogoro wao wa uongozi. Hii ni siri sana kwa wengi ila ni kuwa mgogoro huu ndo umefanya wafuasi wote wa EL aanze kuwarudisha CCM na yeye akifuata. Umetokana na maono ya jinsi ya kuendesha siasa. EL ni muumini wa siasa na si harakati wakati Mbowe anataka Harakati zaidi. Hivyo mgongano huu ndo ukaleta kutoelewa kabisa kwa maana Mbowe aliona EL anataka kumiliki chama kwa kufuata falsafa zake. Inasemekana mwisho wa mgogoro Lowassa alisema Mbowe atamkomoa kwa kuwaondoa wafuasi wake CHADEMA ndo kinachooneka sasa. The Great Migration.
Katika haya unaweza jua vizuri lkuwa Lowassa anafanya siasa za maslahi zaidi ya kuendeleza siasa za wote.
Hii ni taarifa tu.
Naona umeshaanza tena kuchanganyikiwa