Kwa taarifa za harakaharaka na zisizo rasm imesemekana kwamba siri kali imefuta hati ya ajira kwa mwaka huu. Sasa ndugu zangu na mie tujibanebane hukuhuku kwenye sekta binafsi
Kama ni kweli sasa huu utata ina maana nchi imefulia namna hii? Haya sasa sijui tunaelekea wapi wandugu nadhani huu ni wakati wa kufanya mabadiliko makubwa kutokana na uamuzi mgumu.
Kwa taarifa za harakaharaka na zisizo rasm imesemekana kwamba siri kali imefuta hati ya ajira kwa mwaka huu. Sasa ndugu zangu na mie tujibanebane hukuhuku kwenye sekta binafsi