johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Kwa mujibu wa Katiba ya JMT Rais ana kinga ya kutoshtakiwa.
Ndio sababu tuna Bunge ambalo linaweza kumshughulikia pindi anaposhindwa kutekeleza Majukumu yake ipasavyo.
Sasa kama Bunge lilishindwa kushughulika na hayati Magufuli akiwa madarakani hilo ni tatizo la Wabunge siyo JPM.
Kwenye Ndoa ya Kikristo kasisi husema "Mtu yoyote mwenye Zuio la Haki Watu hawa wawili wasiungane kwenye Ndoa Takatifu na aseme SASA au anyamaze MILELE."
Hii ni Sawa kabisa na Rais wa JMT ukishamkosa awapo madarakani ndio imetoka hiyo yanayobaki ni kama mayowe ya Ufipa St. huwezi kumshtaki popote kwa mujibu wa Katiba, Wabunge Mungu anawaona mjue.
Mungu ni mwema wakati wote!
Ndio sababu tuna Bunge ambalo linaweza kumshughulikia pindi anaposhindwa kutekeleza Majukumu yake ipasavyo.
Sasa kama Bunge lilishindwa kushughulika na hayati Magufuli akiwa madarakani hilo ni tatizo la Wabunge siyo JPM.
Kwenye Ndoa ya Kikristo kasisi husema "Mtu yoyote mwenye Zuio la Haki Watu hawa wawili wasiungane kwenye Ndoa Takatifu na aseme SASA au anyamaze MILELE."
Hii ni Sawa kabisa na Rais wa JMT ukishamkosa awapo madarakani ndio imetoka hiyo yanayobaki ni kama mayowe ya Ufipa St. huwezi kumshtaki popote kwa mujibu wa Katiba, Wabunge Mungu anawaona mjue.
Mungu ni mwema wakati wote!