Katiba inatoa kinga kwa mtu aliyetenda kwa mujibu wa madaraka ya urais na siyo akiwa rais.
Katiba inampa rais madaraka kadhaa, na aakifanya kosa katika harakati za kutekeleza wajibu wa kikatiba ndipo anakuwa na kinga ila akitenda kosa katika harakati zaa kufanya yaliyokinyume na matakwa ya katiba hapo hana kinga.
Mfano, katiba haisemi kwamba rais ana madaraka ya kuua na kutesa watu. Sasa akitenda makosa haya, hapa hana kinga. Acheni kudanganyana!