Mtu66 Senior Member Joined Jun 26, 2007 Posts 165 Reaction score 3 Sep 8, 2010 #1 Kwanini hili Tanzania Daima nao wanachelewesha taarifa mtandaoni? Tanzania Daima - Sauti ya Watu Bado kuna gazeti la jumatatu, 6 septemba 2010 Au ndo wanasubiri wauze kwanza? Sisi wengine tuko maporini huku Tunasakanya nyoka
Kwanini hili Tanzania Daima nao wanachelewesha taarifa mtandaoni? Tanzania Daima - Sauti ya Watu Bado kuna gazeti la jumatatu, 6 septemba 2010 Au ndo wanasubiri wauze kwanza? Sisi wengine tuko maporini huku Tunasakanya nyoka
Jile79 JF-Expert Member Joined May 28, 2009 Posts 17,668 Reaction score 13,263 Sep 8, 2010 #2 wamesikia............
Ndibalema JF-Expert Member Joined Apr 26, 2008 Posts 10,955 Reaction score 4,656 Sep 8, 2010 #3 Nilifikiri na wao wamenunuliwa!!
S Selemani JF-Expert Member Joined Aug 26, 2006 Posts 947 Reaction score 294 Sep 8, 2010 #4 Ndibalema said: Nilifikiri na wao wamenunuliwa!! Click to expand... Wanunuliwe mara ngapi. Au unajifanya hujui kwamba Tanzania Daima lipo kapuni mwa Chadema tayari. Acheni unafki jamani.
Ndibalema said: Nilifikiri na wao wamenunuliwa!! Click to expand... Wanunuliwe mara ngapi. Au unajifanya hujui kwamba Tanzania Daima lipo kapuni mwa Chadema tayari. Acheni unafki jamani.
Mimibaba JF-Expert Member Joined Jul 1, 2009 Posts 4,557 Reaction score 1,294 Sep 8, 2010 #5 Mtu66 said: Kwanini hili Tanzania Daima nao wanachelewesha taarifa mtandaoni? Tanzania Daima - Sauti ya Watu Bado kuna gazeti la jumatatu, 6 septemba 2010 Au ndo wanasubiri wauze kwanza? Sisi wengine tuko maporini huku Tunasakanya nyoka Click to expand... Mimi niko Luanda Angola nategemea mtandao ebu tuwekeeni na sisi tupate taarifa
Mtu66 said: Kwanini hili Tanzania Daima nao wanachelewesha taarifa mtandaoni? Tanzania Daima - Sauti ya Watu Bado kuna gazeti la jumatatu, 6 septemba 2010 Au ndo wanasubiri wauze kwanza? Sisi wengine tuko maporini huku Tunasakanya nyoka Click to expand... Mimi niko Luanda Angola nategemea mtandao ebu tuwekeeni na sisi tupate taarifa