Umeelewa lakini alichoandika mtoa uzi? I dauti.Unataka ku - justify nini kwa maelezo yako haya?
Bila shaka umo kwenye kamati ya "kupandisha bei" ama ni mjumbe wao na wamekutuma kwenye social medias uposti hii kitu kuwaandaa watu kisaokolojia kupokea bei mpya kesho ya TZS 4,000, au siyo..?