Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Umeelewa mada?Hayo ya kujitenga unasema wewe
Koh koh koh yao yao 😂😂😂🚬🚬
ngoja tuone mwisho wakeMama yetu kutoka unguja ni ovyo kabisa, kaona bora akajilipue kwa kuwatumia wasanii kuokoa jahazi la urais wake linalokwenda kuzama 2025.
😆😆😆😆Kafanikiwa kumkutanisha mama yake mzazi na Mheshimiwa.
Hayo mengine ni nyongeza.
""Kusifia ccm au Samia ni kujitenga na jamii,""Umeelewa mada?
basi sawa""Kusifia ccm au Samia ni kujitenga na jamii,""
Nimejibu hapa mkuu.
Au kuna shida hapo
Nzuri hiyo😂😂🚬🚬basi sawa
Kibwagizo, Mama yo yo! 2025 fomu ni moja yo! hiyo ni sehemu ya verse.Anasifiwa kafanya nini?! Sifa za Bure.
KwaiyoHatari ya Jambo alilolifanya huyu kijana ni kubwa sana, hata kama amelipwa lakini hakuangalia mbele na wala hakujiuliza, kwanini Hadija Kopa au John Komba hawakufanya hivyo.
Kusifia ccm au Samia ni kujitenga na jamii, hawa hawapendwi na jamii, wanapendwa na Chawa, Muziki unataka watu, ukijitenga na watu unajiua kisanii, iangalie TOT au Vijana Jazz leo, hawa hata wakifanya Tamasha la Wazi Mbagala hawatapata watu.
Maana yake ni kwamba mwisho wa Harmonize ni 2025 baada ya CCM kung'olewa, anauwa kipaji kibwege sana!
Sema tone ya nyimbo ni mbaya mno nadhani zitaishia kwenye makumbusho, maana eti mtu na nusu hahaha yaani hamo kakosa cha kuweka kwenye beti.Kafanikiwa kumkutanisha mama yake mzazi na Mheshimiwa.
Hayo mengine ni nyongeza.
We mbibi hapo umenena so mchezo umpeleke mama kwa Raisi moja kwa mojaKafanikiwa kumkutanisha mama yake mzazi na Mheshimiwa.
Hayo mengine ni nyongeza.
Hii Nchi ina Viongozi watupu sana vichwani.Kibwagizo, Mama yo yo! 2025 fomu ni moja yo! hiyo ni sehemu ya verse.