Smart codetz
JF-Expert Member
- Jan 25, 2023
- 218
- 875
"Hii ni mechi ya kimataifa, hata kama Beno amesaini na Singida anatakiwa kuwa na weledi, Beno bado ni mchezaji wa Simba na anatakiwa kuwa Committed na Timu ya Simba na hususan hizi mechi muhimu ambazo Manula hayupo,”
"Huwezi jua, unaweza onyesha performance yako kwenye mechi ya kesho kwa sababu ni mechi ya kimataifa hujui ni nani anakuangalia ukapata dili ukaondoka, hata dili na Singida likavunjika ukaenda mbali zaidi."
"Huwezi jua, unaweza onyesha performance yako kwenye mechi ya kesho kwa sababu ni mechi ya kimataifa hujui ni nani anakuangalia ukapata dili ukaondoka, hata dili na Singida likavunjika ukaenda mbali zaidi."