Hata kama ndio kutengeneza content ila hii hapana!

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu mko vyedi?

Watengeza maudhui hawa walikaa chini wakafikiria wakaona hii ndio content inafaa na inachekesha kabisa?! Hapana jamani hii siyo sawa.

Kwanza ni hatari kwao na hata kwa magari na watumizi wengine wa barabara. Mtu anatoka huko breki zimefeli anakuja kukuvaa utamlaumu nani, tena wanaenda kwenye barabara iko bize hivyo.

Vitu vingine tunajitafutia tu matatizo uzolewe bahati mbaya uje ulaumu serikali kwa upumbavu wako. Au nakosea Wakuu?

 
Watu wanataka views na comments hata kwa kuhatarisha maisha na kujidhalilisha.
 
Huko daslam watu hawatembei na fimbo kwenye gari? Mqqna huku kwetu hapo wangekula stiki za kutosha
 
Public disturbance is a legal offence that involves a person or people engaging in
behavior that causes an unreasonable nuisance to others,

Disturbing the peace is a misdemeanor criminal offence.
 
Back
Top Bottom