Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
We mbumbumbu unaumia ukiwa wapi?Bado sijaelewa hili jambo , ilidaiwa Manara kafungiwa asishiriki shughuli za Soka za ndani na nje ya nchi kwa miaka miwili , sasa leo kaonekana kwenye tamasha la Yanga , KWA KISINGIZIO CHA MC WA KUKODIWA , na baada ya kumaliza kuwatambulisha wachezaji wa Yanga , Manara amedai kwamba hajihusishi na soka na anaondoka kwenda huko Kigogo kufanya shughuli zake za UMC kwenye harusi .
Hili jambo limekaaje jamani ?
Tandika MwembeyangaWe mbumbumbu unaumia ukiwa wapi?
Bado sijaelewa hili jambo , ilidaiwa Manara kafungiwa asishiriki shughuli za Soka za ndani na nje ya nchi kwa miaka miwili , sasa leo kaonekana kwenye tamasha la Yanga , KWA KISINGIZIO CHA MC WA KUKODIWA , na baada ya kumaliza kuwatambulisha wachezaji wa Yanga , Manara amedai kwamba hajihusishi na soka na anaondoka kwenda huko Kigogo kufanya shughuli zake za UMC kwenye harusi .
Hili jambo limekaaje jamani ?
Aongzewe mwaka wa tatu!Bado sijaelewa hili jambo , ilidaiwa Manara kafungiwa asishiriki shughuli za Soka za ndani na nje ya nchi kwa miaka miwili , sasa leo kaonekana kwenye tamasha la Yanga , KWA KISINGIZIO CHA MC WA KUKODIWA , na baada ya kumaliza kuwatambulisha wachezaji wa Yanga , Manara amedai kwamba hajihusishi na soka na anaondoka kwenda huko Kigogo kufanya shughuli zake za UMC kwenye harusi .
Hili jambo limekaaje jamani ?
Mamc wote wanalipa kodi... yeye huwa anaulipia kodi?Kafungiwa kujihusisha na mpira sio uemsi
Wanapo lipa Kodi maemsi woteMamc wote wanalipa kodi... yeye huwa anaulipia kodi?
Umebakiza kujinyonga tu hakuna namna 😂Huyu ban ya maisha inamuhusu..Ameidharau taasisi nampira wa bongo na ameifanya taasisi km haina meno na haing'ati
Wewe nani hadi udai mkataba?Wakimuomba mkataba wa kuwa mc atautoa au magumashi tu
Shughuli siyo ya TFF, na sidhani kama Yanga wameomba kibali TFF kufanya shughuli Yao ya kutambulisha wachezaji, watakuwa wamewafuata DRFA kwa ajili ya mechi ya saa 1 Usiku!!!Huyu ban ya maisha inamuhusu..Ameidharau taasisi nampira wa bongo na ameifanya taasisi km haina meno na haing'ati