faith marie
Member
- Feb 9, 2016
- 47
- 28
Naomba tu niwe upande wa mange,maana recho yule Dada kachizi na anamtafuta mange mda sana,sijuhi anafurahi anavyoanikwa kwa vichamboJamani alie na umbea WA mange arushe hapa,na recho temu insta kutamujeeee
Hiii tamthilya itaishia mimba kutoka,simuombei ila hakuna mimba pale....drama na kudraw attention za watuMimi nawaambieni hii ni Tamthiliya....season 1episode 39
Hata wewe una kazi sana tena we ndo una kazi kubwa....watu wa UBUYU mnakazi sana
Mimi nasema Wema ana mimba, aliitafuta kwa shida sana aje awalipizie wabaya wake na haijatoka.Teh afu wewe husomeki unafata uelekeo wa upepo
Mimba ipo.Hiii tamthilya itaishia mimba kutoka,simuombei ila hakuna mimba pale....drama na kudraw attention za watu
Hivi kumbe sio mimi tu! Mpaka nikawa natamani kuitupa hii cm kwakunifanyia kusudi lolUngetoa maelezo kidogo mumy as unajua JF inazingua sasa hivi kwenye suala la picha.
Shikamoo!Viazi ndo nini
Ha ha ha ha ha tumbo la malkia sultanMimi nasema Wema ana mimba, aliitafuta kwa shida sana aje awalipizie wabaya wake na haijatoka.
Haiwezi kutoka kabla zamu ya mtaa wetu haijafika kugusa tumbo la Malkia Sultan.
Mimba zinatolewa updates kama Football match
Aise utujuze yatakayosemwa hukoLeo saa saba kwenye xxl tutasikia ukweli
Haaahaa Binamu hujaacha umbea tu , nilikuwa out of JF kwa muda ila kuna umbea wa watu niliumiss.nasikia mimba imetoka,jaman nilijua tu mimba ya wema haifikag hata miez sita inatoka, kweli huyu dada kiboko kwa ku fake mimba