Kufukuzia[emoji23][emoji23][emoji23]Hawa nawakutaga sehemu ming sana kwenye mizunguko yangu humu
Like ina faida gani ndugu?
Haina faidaLike ina faida gani ndugu?
Tuanzie hapo kwanza.
Nimekupa dislike.. sema tena haipoUngeanza kwa waliyoiweka (like) iwepo
maana hawajaweka dislike [emoji107] ingekuwa vema zaidi ndugu
Mkuu Kile kitufe cha dislike kipo kwa fundi bado
Subiri kitoke nitaiyona [emoji23][emoji23][emoji23]
Eti ee[emoji23][emoji23]Wanaishi sana online
Mkuu, mimi hua naangalia sana avatar yako alafu nakaa nikitafakari mambo mengi sana....[emoji28][emoji28][emoji28] sawa mkuu kwako ipo
Ishi nayo iyo
Presssssnnttttt ndugu mjumbe!
Me naona ni njia ya kusambaza upendoLike ina faida gani ndugu?
Tuanzie hapo kwanza.
Mkuu, mimi hua naangalia sana avatar yako alafu nakaa nikitafakari mambo mengi sana....
Ebu ngoja tuone kama wapo wengine ambao pia wanaliona ninalo liona