Hata kama ni njaa ila hili ni balaa sasa. Dada zetu hivi mnatuchukuliaje?

Hata kama ni njaa ila hili ni balaa sasa. Dada zetu hivi mnatuchukuliaje?

Majighu2015

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
2,937
Reaction score
3,959
Screenshot_20230719-205738.jpg

Yani mtu mmeanza kuchati tu ghafla umeshaitwa "My" na invoice juu. Hivi hawa viumbe wanatuchukuliaje? Nilichokifanya nimempa block tu, sitaki ujinga.
 

Attachments

  • Screenshot_20230719-205738.jpg
    Screenshot_20230719-205738.jpg
    92 KB · Views: 3
Mnachukua mademu wa Facebook mnaleta lawama huku, mtatongoza madume washamba nyie
Uzi na ufungwe, kwa mara ya kwanza leo umecomment cha maana. 🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️
 
Mambo ya ku-screen shot na kum-expose demu wako huku hatutaki. Huo ni utoto Kama huna hela mwambie huna, Kama hutaki mwambie sitaki, au utume number yake huku nimtumie dollar 18. 😀😀😀 🍆💦
 
Back
Top Bottom