Hata kama ni njaa ila hili ni balaa sasa. Dada zetu hivi mnatuchukuliaje?

Mnachukua mademu wa Facebook mnaleta lawama huku, mtatongoza madume washamba nyie
Uzi na ufungwe, kwa mara ya kwanza leo umecomment cha maana. πŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈ
 
Mambo ya ku-screen shot na kum-expose demu wako huku hatutaki. Huo ni utoto Kama huna hela mwambie huna, Kama hutaki mwambie sitaki, au utume number yake huku nimtumie dollar 18. πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ πŸ†πŸ’¦
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…