Deejay nasmile
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 5,794
- 5,352
Wana mvuto sana..sema kwa sababu wanakuwa chini ya terms flan za mabosi ndio maana hawadamshi..Umekutana na star gani usiku huu wa saa sita hadi ukaamua kuanzisha uzi?
Halafu sijui kwanini house girls wako underrated namna hii...kwamba house girls hawana mvuto kabisa
Mpaka shimo ambalo ni la mafuta ya taa???Nyoka hachagui shimo
Nalog off
Íngia tu uungue Mzee babaMpaka shimo ambalo ni la mafuta ya taa???
Mvuto wa mtu sio hadi apake viurembo...kama unavutia unavutia tuWana mvuto sana..sema kwa sababu wanakuwa chini ya terms flan za mabosi ndio maana hawadamshi..
Hivi fikilia umepaka viurembo vyako mwenyewe alafu bosi anakutuma kasage mahindi!!!
Hahahahah..kazi njemaÍngia tu uungue Mzee baba
Nalog off
Nakubaliana na ww. Kuna warembo wawili nawafahamu tokea hata hawajaingia insta. Ni wa kawaida tu sana kwa macho yangu. Ila sasa mmoja insta imempa umaarufu kila wikiendi anarushwa tu na ndege kwenda kumpa fogo flani uroda. Nasema mimi na pesa zangu japo na uwezo kabisa wa hizo tiketi za ndege, ningekupa labda nauli ya basi tu sababu sioni kama yuko level kali namna hio. Ila beauty is in the eyes of the beholder - Manake ninayemuona wa kawaida, mwingine anamuona mkali balaa.yaani sijui ni mitandao na zile filter za apps.ndo zinawapa kiburi na kujiona wazuri,wajanja,watamu,matajiri!!!!!!!!!! Sasa ukikutana nao show show duh..utabaki upaliwe mate kwa kucheka na mshangao....wapo kawaida hatari...ninavosema KAWAIDA naomba nieleweke vizuri..yaani wapo KAWA IDA...kiasi kwamba hata house gal wako home yuko na mvuto...
Ila ukiwakuta sasa huko kwenye tvs,insta au club na zile henness,desperado,vikuku na tattoo zao...wanajitunisha kumbe NAH TING NEW!!
Pisi kali ambayo naiotea ndoto kwa hapa bongo ni MMOJA TU
najua unacho maanaisha.. Lakin kuna kubali au ukatae kuna vitu housegal anakosa kuwa na uhuru navyo...Mvuto wa mtu sio hadi apake viurembo...kama unavutia unavutia tu
Also house girl unajua hawalipwi pesa nyingi sana. Kwa hio kuzitumia kwa urembo, nguo kali, nywele, vipodozi nk.. unakuta hafanyi. Wengi tunaowaita warembo ni gharama wametumia kuonekana mrembo na akiongezea juu yake mini skirt na nguo za skin tights basi anaonekana mwanzo mwisho.. kumbe sio kivile.najua unacho maanaisha.. Lakin kuna kubali au ukatae kuna vitu housegal anakosa kuwa na uhuru navyo...
Huwezi fananisha house gal na secretary au mtoto wa bosi hata siku moja... japo wote wanaweza kuwa na elimu sawa au muonekano sawa... Au pengine hata housegal akawa na uzuri wake kuliko mtoto wa bosi..lakini kutokana na vitu flani kuhusu mkataba au terms zikauzika ule uzuri wake
ndio hivo mkuu..wenyewe wanasema eti kipenda roho....hahahaha ila sio na mimi...Nakubaliana na ww. Kuna warembo wawili nawafahamu tokea hata hawajaingia insta. Ni wa kawaida tu sana kwa macho yangu. Ila sasa mmoja insta imempa umaarufu kila wikiendi anarushwa tu na ndege kwenda kumpa fogo flani uroda. Nasema mimi na pesa zangu, ningekupa labda nauli ya basi tu sababu sioni kama yuko level kali namna hio. Ila beaty is in the eyes of the beholder - Manake ninayemuona wa kawaida, mwingine anamuona mkali balaa.
well said..yaani hiki ndio nilikuwa najaribu kumaanisha....asante mkuu...na mabosi hasa WAKIKE wanajua tu kuwa house gal akiwezeshwa tu ,ndoa ya WENYE NYUMBA inaweza kufa saa yoyoteAlso house girl unajua hawalipwi pesa nyingi sana. Kwa hio kuzitumia kwa urembo, nguo kali, nywele, vipodozi nk.. unakuta hafanyi. Wengi tunaowaita warembo ni gharama wametumia kuonekana mrembo na akiongezea juu yake mini skirt na nguo za skin tights basi anaonekana mwanzo mwisho.. kumbe sio kivile.
Na wanakuwa watamu hatari....ktu kizuri pia ni kuwa hamshei na wengi....sio kama hawa wanaofanya collabo mara vunja bay,mara madj,mara mabongo fleva,mara akina RRMimi ni best friend wa mtangazaji mmoja maarufu sana...
Huyu rafiki yangu ana maisha yake mazuri na kila mwaka huwa anakuja tanzania na akija mimi ndio nakuwa kampani yake..
Hata gari natumia mara nyingi ni zake amenifanya nisinunue hata gari yangu..
Huyu jamaa alinifundisha kitu ambacho naishi nacho hadi leo...
Hachukui pisi kali kali hata siku moja.
Zinashoboka lakini anashia kupiga nao stori kuwapa ofa ila mwishoni tunachukua kuku wa kienyeji..
Hadi mimi leo hii vitu napiga ni zile pisi za kishamba hatari..
Wale hata mesej hawajui kuandika..
Yaani vile vya kienyeji uswazi..
Ni ojii sana
hahahaha....kifurushi cha mwezi au??Wanatumia pedi za 25,000 pisi 1 itakua.
Wale ni reject kabisa..Na wanakuwa watamu hatari....ktu kizuri pia ni kuwa hamshei na wengi....sio kama hawa wanaofanya collabo mara vunja bay,mara madj,mara mabongo fleva,mara akina RR
Ulivyoanza Mwandiko nilijuwa wewe Ni Manzi baadae Gia ikabadilika..Mimi ni best friend wa mtangazaji mmoja maarufu sana...
Huyu rafiki yangu ana maisha yake mazuri na kila mwaka huwa anakuja tanzania na akija mimi ndio nakuwa kampani yake..
Hata gari natumia mara nyingi ni zake amenifanya nisinunue hata gari yangu..
Huyu jamaa alinifundisha kitu ambacho naishi nacho hadi leo...
Hachukui pisi kali kali hata siku moja.
Zinashoboka lakini anashia kupiga nao stori kuwapa ofa ila mwishoni tunachukua kuku wa kienyeji..
Hadi mimi leo hii vitu napiga ni zile pisi za kishamba hatari..
Wale hata mesej hawajui kuandika..
Yaani vile vya kienyeji uswazi..
Ni ojii sana