Nimegundua nawaelewesha mazuzu yanayoshinda airport kuwapokea wageni.Inonga alicheza katika Nafasi ya “Kiungo Mchezeshaji”.
Oneni huyu [emoji23][emoji23]
Kwani wewe hapa ulikuwa unaongelea nani chama ni mnyama au mtu?Hii comment imeonyesha ww ni kilaza nimepoteza mda wangu bure kukujibu ndegelesi umeshinda basi tufanye maana unatoka kwenye point unakuja kwenye personality ya mtu
kwa hiyo sio tena kupigana na kocha?Upo mkakati wa kuhakikisha Cloutus Chota Chama anapewa kiasi chake cha pesa anachoidai Simba kutokana na Kuvunja mkataba wake na Berkane.
Ikumbukwe kuwa Simba SC walimpanga Chama kutumia pesa zake binafsi kuhakikisha anavunja mkataba wake na Berkane ili baadae aje kupewa pesa hizo katika installments tofauti tofauti.
Mapenzi ya dhati ya Chama akakubali na akaamua kutimiza dhamira ya Viongozi wake akijua kuwa hakuna jambo litakalo haribika na ukizingatia hakuwa akifurahishwa na Mazingira yake ya kazi huko Kaskazini mwa Afrika.
Viongozi wa Simba walidhani kuwa wangetumia pesa zao kuvunja mkataba wa Chama na Berkane basi wangeingiliwa keani walijua dhahiri kuwa Eng Hersi na timu yake walikiwa wamejiandaa kumkwapua kijana mara mkataba unapovunjwa.
Ahadi ya kulipwa pesa zake lilikuwa ni mpaka pale atakapo saini na Simba na kuanza kuitumikia klabu.
Miezi kadhaa baadae Klabu ikashindwa kutimiza ahadi yake ndipo Chama akaanza ku-skip session za mazoezi na kushinda kwenye ofisi za Mo Dewji akidai chake.
Pasi na Pablo kuwa na taarifa rasmi za kutokuwapo kwa Chama mazoezini, akaandika barua rasmi kuwa hatotaka kumuona mchezaji huyo mpaka atakapo andika barua ya kujieleza kwa utovu huo wa nidhamu.
Mpaka wakati huu Chama hajakamilishiwa malipo yake na wala hakuona sababu ya kuandika barua kwa Pablo kama alivyohitajika.
Chama amefungua mashtaka ya madai na sasa yuko Kwao.
Kwa haya yote yaliyotokea ndani ya klabu sioni jamaa akirudi kwenye ubora wake ukizingatia sio tu umri bali pia Pablo amekwisha pendekeza usajili wa mbadala wake.
Umetoroka Milembe nini?Huoni hata aibu masikini ya Mungu.
Usikute una familia na watoto hapo ulipo .[emoji23][emoji23]
Huoni hata aibu masikini ya Mungu.
Usikute una familia na watoto hapo ulipo .[emoji23][emoji23]
Hio Biashara kichaa walifanya, lkn vipengele si vipo alie vunja mkataba ndio atalipa
.Upo mkakati wa kuhakikisha Cloutus Chota Chama anapewa kiasi chake cha pesa anachoidai Simba kutokana na Kuvunja mkataba wake na Berkane.
Ikumbukwe kuwa Simba SC walimpanga Chama kutumia pesa zake binafsi kuhakikisha anavunja mkataba wake na Berkane ili baadae aje kupewa pesa hizo katika installments tofauti tofauti.
Mapenzi ya dhati ya Chama akakubali na akaamua kutimiza dhamira ya Viongozi wake akijua kuwa hakuna jambo litakalo haribika na ukizingatia hakuwa akifurahishwa na Mazingira yake ya kazi huko Kaskazini mwa Afrika.
Viongozi wa Simba walidhani kuwa wangetumia pesa zao kuvunja mkataba wa Chama na Berkane basi wangeingiliwa keani walijua dhahiri kuwa Eng Hersi na timu yake walikiwa wamejiandaa kumkwapua kijana mara mkataba unapovunjwa.
Ahadi ya kulipwa pesa zake lilikuwa ni mpaka pale atakapo saini na Simba na kuanza kuitumikia klabu.
Miezi kadhaa baadae Klabu ikashindwa kutimiza ahadi yake ndipo Chama akaanza ku-skip session za mazoezi na kushinda kwenye ofisi za Mo Dewji akidai chake.
Pasi na Pablo kuwa na taarifa rasmi za kutokuwapo kwa Chama mazoezini, akaandika barua rasmi kuwa hatotaka kumuona mchezaji huyo mpaka atakapo andika barua ya kujieleza kwa utovu huo wa nidhamu.
Mpaka wakati huu Chama hajakamilishiwa malipo yake na wala hakuona sababu ya kuandika barua kwa Pablo kama alivyohitajika.
Chama amefungua mashtaka ya madai na sasa yuko Kwao.
Kwa haya yote yaliyotokea ndani ya klabu sioni jamaa akirudi kwenye ubora wake ukizingatia sio tu umri bali pia Pablo amekwisha pendekeza usajili wa mbadala wake.
Yaani sijawahi kuona mtu muongo kama wewe..Chama yupo Ismailia kwenye mechi ya juzi alichezaUpo mkakati wa kuhakikisha Cloutus Chota Chama anapewa kiasi chake cha pesa anachoidai Simba kutokana na Kuvunja mkataba wake na Berkane.
Ikumbukwe kuwa Simba SC walimpanga Chama kutumia pesa zake binafsi kuhakikisha anavunja mkataba wake na Berkane ili baadae aje kupewa pesa hizo katika installments tofauti tofauti.
Mapenzi ya dhati ya Chama akakubali na akaamua kutimiza dhamira ya Viongozi wake akijua kuwa hakuna jambo litakalo haribika na ukizingatia hakuwa akifurahishwa na Mazingira yake ya kazi huko Kaskazini mwa Afrika.
Viongozi wa Simba walidhani kuwa wangetumia pesa zao kuvunja mkataba wa Chama na Berkane basi wangeingiliwa keani walijua dhahiri kuwa Eng Hersi na timu yake walikiwa wamejiandaa kumkwapua kijana mara mkataba unapovunjwa.
Ahadi ya kulipwa pesa zake lilikuwa ni mpaka pale atakapo saini na Simba na kuanza kuitumikia klabu.
Miezi kadhaa baadae Klabu ikashindwa kutimiza ahadi yake ndipo Chama akaanza ku-skip session za mazoezi na kushinda kwenye ofisi za Mo Dewji akidai chake.
Pasi na Pablo kuwa na taarifa rasmi za kutokuwapo kwa Chama mazoezini, akaandika barua rasmi kuwa hatotaka kumuona mchezaji huyo mpaka atakapo andika barua ya kujieleza kwa utovu huo wa nidhamu.
Mpaka wakati huu Chama hajakamilishiwa malipo yake na wala hakuona sababu ya kuandika barua kwa Pablo kama alivyohitajika.
Chama amefungua mashtaka ya madai na sasa yuko Kwao.
Kwa haya yote yaliyotokea ndani ya klabu sioni jamaa akirudi kwenye ubora wake ukizingatia sio tu umri bali pia Pablo amekwisha pendekeza usajili wa mbadala wake.
Huyo ni Juma LokoleYaani sijawahi kuona mtu muongo kama wewe..Chama yupo Ismailia kwenye mechi ya juzi alicheza