Hata kama tulipigwa huko ICSID Mwangakala alituwakilisha vizuri

Hata kama tulipigwa huko ICSID Mwangakala alituwakilisha vizuri

comte

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2011
Posts
9,019
Reaction score
6,825

Mr. Andrew A. Mwangakala​

Ag. Assistant Commissioner -Financial Modeling​

 
Huyu dogo alikuwepo kwenye tume ya Osoro/Mduma nakumbuka.
Nimemkumbuka Tunga sijui yuko wapi na Hilda ambaye ni mkuu wa idara ya usalama wa mifumo ya kikompyuta UDOM.
 

Mr. Andrew A. Mwangakala​

Ag. Assistant Commissioner -Financial Modeling​


Hawa ndiyo walimwingiza mkenge mwendazake, walilikoroga sasa walinywe. Mama kafanya sawasawa kumpeleka yeye.

Amejaa ujinga tu, hana cha maana alichokifanya hapo. Kila kitu yeye "correct" tu. Pambaf. Anaongozwa kama mtoto mdogo.
 
Umefeli halafu unajitetea ulifanya vizuri? Warudishe night zetu.
 
Hawa ndiyo walimwingiza mkenge mwendazake, walilikoroga sasa walinywe. Mama kafanya sawasawa kumpeleka yeye.

Amejaa ujinga tu, hana cha maana alichokifanya hapo. Kila kitu yeye "correct" tu. Pambaf. Anaongozwa kama mtoto mdogo.
Angekuwa anaitwa Omary Juma Mohamed usingetoa comment hiyo, ungesema hujaona baya!
We siku zote unaongozwa na hisia za udini tuuu hunaga jipya!
 
Back
Top Bottom