Mary wapo watu wanaoachana na kutakiana mema pale tu sababu za kuachana zinapokuwa zinaeleweka.wapo watu wanaokubali hali zilizowafanya waachane,wanasamehe na kujisamehe wenyewe.Kweli sababu nyingine zinazowaachanisha watu ni kubwa na zenye uchungu mkubwa,ila watu wakijifunza kumtumaini Mungu na kumtegemea hata kwenye breakups na kusamehe ipo siku watu watakuwa wanatakiana mema.Tatizo tunataka kubeba kila kitu kwenye vifua vyetu,mtu anakusanya hasira,mateso miaka mingi na pengine kuhatarisha hata maisha yake,laiti tungekuwa tunakubali alama za nyakati mapema tungeepuka mengi.Tutue mizigo kwa Mungu na tuvumilie kadri ya uwezo wetu na si kujilazimisha mwishoni yanashindikana unakimbilia kuua.
ipo hata sasa ila tu namna ya kukabiliana na mitihani binadamu tumetofautiana,wapo wenye uwezo mkubwa,wapo wanaokimbia mapema na wapo wanaovumilia hadi mwisho wa safari yao.