DungaMawe
JF-Expert Member
- Jul 31, 2022
- 1,522
- 4,630
Unajaua hata kama tumefungwa lakini hatua tuliyo ifikia nyie vyura amauwezi fika miaka buku. Kwa mpila wa leo karibu dunia nzima wameangalia, alafu hii ndo mechi ambaya club za Africa zimekutana na mechi ikatizamwa na watu wengi, alafu pia tumekunja.
Biliooni TANO!! Nyie pesa kama hii mtaingiza kwa miaka mitano, si tumeiingiza kwa mechi mbili. Saivi mashabiki wameongezeka mana lile pira tumepiga ni la viwango vya mars, saivi kuna watu kama milion tano wameoda jezi za SIMAB SC.
MAMAAA! NAOTA!!!
Biliooni TANO!! Nyie pesa kama hii mtaingiza kwa miaka mitano, si tumeiingiza kwa mechi mbili. Saivi mashabiki wameongezeka mana lile pira tumepiga ni la viwango vya mars, saivi kuna watu kama milion tano wameoda jezi za SIMAB SC.
MAMAAA! NAOTA!!!