Hata kama unatumika, basi tumia akili unapotumika

Haaaahaaaaaa nimesoma nikategemea atatuonesha mechi walizoshinda eeh anasema mechi ya kirafiki na mashujaa waache nakwambia wasipofanikisha mechi kuihamishia dar wameumia
 
Priva ameandika hivi"Simba haijawai kushinda uwanja huo',,hapo ajasema za mashindano wala friend match,usiongeze maneno ambayo Priva hakuandika hapo.

Ukweli ni kwamba Simba ameshawai kushinda kwenye uwanja wa Lake Tanganyika.
Haaaahaaaaa ndio mechi ya kirafiki?
 
Nawakumbusha tu simba haijawahi kushinda mechi ya mashindano katika uwanja wa lake Tanganyika na Yanga hawajawahi Kufungwa na timu yeyote katika uwanja huo, Historia ina tabia ya kujirudia
 
Priva ameandika hivi"Simba haijawai kushinda uwanja huo',,hapo ajasema za mashindano wala friend match,usiongeze maneno ambayo Priva hakuandika hapo.

Ukweli ni kwamba Simba ameshawai kushinda kwenye uwanja wa Lake Tanganyika.
Ok, ila pia Simba alinusurika kushuka faraja 1989 akaokolewa na Yanga sc, hiyo nayo unasemaje? Kafanganya au kawakumbusha ukweli.
Priva ameandika hivi"Simba haijawai kushinda uwanja huo',,hapo ajasema za mashindano wala friend match,usiongeze maneno ambayo Priva hakuandika hapo.

Ukweli ni kwamba Simba ameshawai kushinda kwenye uwanja wa Lake Tanganyika.
 
Acha kulialia bwanshee.
 
Sasa Kigoma hakuna timu ya ligi kuu ,unataka Simba washinde na Nani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…