Hata kama Wapalestina hawakubaliki Marekani hili la mzigo condom wamesingiziwa.

Hata kama Wapalestina hawakubaliki Marekani hili la mzigo condom wamesingiziwa.

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Katika kufafanua zaidi kuhusu kusitishwa kwa msaada wa Marekani chini ya utawala Trump Msemaji wa Ikulu ya Marekani akizungumza na vyombo vya habari amesema walipofanya ukaguzi wamekuta Gaza imepewa $million 50( takribani bilioni 100Tsh) kwa ajili ya kununua Condom.

Huu ni uzushi mkubwa sana, kuna nchi kweli zingeweza kutengewa au kupewa msaada wa condom kiasi hicho ila sio Gaza, hii ni propaganda nyeusi dhidi ya Wapalestina.

Screenshot_20250129-104352_X.jpg
 
Sasa kama nchi za Kiislamu zinakubalika kuoa msichana mwenye miaka 9 maana ake huko kupelekeana moto kupo juu, hvy Mm naweza nikakubali.
 
Yawezekana ziliandikiwa kununua 'condom' na kumbe zilikuwa zinanunua silaha?
 
Back
Top Bottom