Kaa la Moto JF-Expert Member Joined Apr 24, 2008 Posts 7,904 Reaction score 1,064 Oct 12, 2010 #2 Sintashangaa maana ni matunda ya shule za kuchakachua elimu aka shule za kata
Ruge Opinion JF-Expert Member Joined Mar 22, 2006 Posts 1,838 Reaction score 705 Oct 13, 2010 #3 Mchukia Fisadi said: Sintashangaa maana ni matunda ya shule za kuchakachua elimu aka shule za kata Click to expand... Unategemea nini? Wamekuja na wazazi wao kutafuta T-shirt, kofia, khanga na vilemba vya bure. Na bahasha za Sh.2,000/= zikitembezwa nyumba kwa nyumba unategemea nini kutoka kwa walalahoi?
Mchukia Fisadi said: Sintashangaa maana ni matunda ya shule za kuchakachua elimu aka shule za kata Click to expand... Unategemea nini? Wamekuja na wazazi wao kutafuta T-shirt, kofia, khanga na vilemba vya bure. Na bahasha za Sh.2,000/= zikitembezwa nyumba kwa nyumba unategemea nini kutoka kwa walalahoi?
Henge JF-Expert Member Joined May 14, 2009 Posts 6,933 Reaction score 1,511 Oct 13, 2010 #4 wacha watoto wapendeze na pesa zetu!