Ulimwengu Mbaya
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 1,218
- 840
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] umeona wanavyotufokea eti mkichagua upizani hatuleti MaendeleoNaiunga mkono familia yako,napenda hawa Wana siasa tuwe tuna wapiga tano nenda tano nenda ikizidi hapo wanatuzoea hawa!!
Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
Maisha yanaenda kasi mno, Mkuu, wewe siku za nyuma ulikiwa hausikii chochote kuhusu Magufuli, yote ayafanyayo uliyatetea kwa vyovyote vile. Lissu kasema katika miaka hii mitano kila Mtanzania anayo hadithi yake,kweli maneno ya Lissu hayaanguki.Mimi na familia yangu tumejadili sana kuhusu nafasi ya urais na tumekubaliana kwamba lazima Magufuli apumzike ameshatutawala inatosha miaka mitano ni mingi Sana na ukizingatia ameshakula maisha serikalini zaidi ya miaka 20...
Karibu wewe na familia yakoNi yeye
Wanakaza shingo tu lakini Maguduli hafai aseeMaisha yanaenda kasi mno, Mkuu, wewe siku za nyuma ulikiwa hausikii chochote kuhusu Magufuli, yote ayafanyayo uliyatetea kwa vyovyote vile. Lissu kasema katika miaka hii mitano kila Mtanzania anayo hadithi yake,kweli maneno ya Lissu hayaanguki.
Huyo jiwe ni mgombea wa chama gani na kwa nafasi ipi??Nashukuru ushaona Jiwe hafai
Kweli nimeamini akili ya mwanadamu siyo static. Akili ya ndege JOHN imetengemaa kweli kweli siku hizi.Ni wewe niliyekulimaga tofali wakati fulani au? Sikuhizi unatumia ubongo wako vizuri, ubarikiwe
Kweli nimeamini akili ya mwanadamu siyo static. Akili ya ndege JOHN imetengemaa kweli kweli siku hizi.
Ni yeye katika chati lissu ndo anatakiwa awini akae kileleni[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Nimeshangaa,.... Huyu nilimlima block sababu alizidi uchizi... Karibia viazi wengi wa ccm nimewalima block
Ni yeye katika chati lissu ndo anatakiwa awini akae kileleni
Yupo chatoLissu ni mchumia tumbo
Katika viongozi wabovu waliobebwa huyu inamuhusu.Sikiliza wenye akili na busara zao View attachment 1568251
Hapana ni Mimi mwenyewe ndege John akili zimekaa sawa tuMpeni muda ndege Johna kuna uwezekano kalewa pombe au amehakiwa