Hata mkikaa kimya poa tu lakini mjue tumemlalua alliances

Aman iwe nanyi


Naona mnajifanya kama hamjui

Endeleen kujificha kwa makwinyo lakin mjue kuwa leo tumemlalua alliances

Yanga nguvu moja

LONDON BOY

Upumbavu ule ule wa kutokujua tofauti ya R na L!

Tanzania sijui tutaweza nini duniani hapa kama hata Kiswahili tunafeli vibaya namna hii!
 
Hongereni, ila timu ingawa inashinda, inaruhusu kufungwa magori mengi pia.

Mpaka hivi sasa yanga imecheza mechi 7, imefungwa magoli 11, imefungwa goli 7 wastani wa kila mechi wanafungwa goli moja.

Kwahiyo yanga ina cha kufanya kabla haijakutana na waflume wa nyika, yaani wana Lunyasi. Na siyo Simba tu bali hata timu zingine ambazo zinanguvu, kama Azamu, Kagera, Prison.
 
Hasira za nini mkuu? Kwani hukuelewa

Mkuu

Ukiongea Kingereza,wapumbavu kama hawa unasikia acha Kingereza ongea Kiswahili kama Mtanzania!

Ukigeuka ndio Kiswahili hovyo huyo huyo anaejifanya hataki Kingereza!

Aongee Kiswahili sahihi,huu usenge wa kuongea Kiswahili kibovu uishe!
 
Hujui kama nina mke long timeTafuta mwingine labda semenya john Stefano atakufaa

Mwanadamu anaekimbia his own weaknesses ni wa hatari zaidi

Kama wewe!

Unafunga uso ku-kataa ulichokunya,wakati umekunya regardless!

Yaani upo kwenye denial na ujinga ulionao,dawa ya ujinga ni kuelekezwa!

Ndio maana umeelekezwa usichanganye R na L ni upumbavu,unaharibu Kiswahili!
 
Acha kudandia mambo ya wanaume Shwain
 
Acha kudandia mambo ya wanaumeShwain

Kwani nani mwanamke hapa?

Mimi ni mwanaume na nipo comfortable na gender yangu sina haja ya kuitaja ili ku prove mimi mwanaume!

Na wanaume tulio na akili hatutumii R kwenye L au L kwenye R kama mademu!

Madem badala ya kusema “Rafiki” wanasema “Lafiki”,ndio wewe unatuletea female tendencies hapa!

Improve your Kiswahili male wannabe!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…