Mwishokambi
JF-Expert Member
- Nov 23, 2020
- 390
- 1,425
Kinachowachokonoa mbumbumbu ni kutaka YANGA wafungwe ili waseme tulikuwa bize na HARUSI....sasa tumeshinda yanatamani yakalie MKUKI.Mechi imechezwa jana na mjadala ni kuhusu gemu ya jana, leo Kiemba anabadilisha mada eti hata Simba wana timu zao, timu gani imecheza na simba kukawa na mchekea?
Kiemba ameibuka akidai Simba inaachiliwa na Azam? Kuna watu wajinga sana kwenye media zetu halafu wamepata platform ya kupiga porojo tu.
Mechi imechezwa jana na mjadala ni kuhusu gemu ya jana, leo Kiemba anabadilisha mada eti hata Simba wana timu zao, timu gani imecheza na simba kukawa na mchekea?
Kiemba ameibuka akidai Simba inaachiliwa na Azam? Kuna watu wajinga sana kwenye media zetu halafu wamepata platform ya kupiga porojo tu.
Tumeshakubaliana Kila timu ishinde mechi zake ayo makelele yenu ayatowasaidia tutaendelea kupiga utosini kama nyoka akuna kucheka na kima safari hii,,kiemba yeye ata asipozungumza sisi hizi kazi tunazijua vizuri tuliongea sana mkatuona Amnazo mkajiona ni mafia kuliko tutawaonyesha kudadadeki!Mechi imechezwa jana na mjadala ni kuhusu gemu ya jana, leo Kiemba anabadilisha mada eti hata Simba wana timu zao, timu gani imecheza na simba kukawa na mchekea?
Kiemba ameibuka akidai Simba inaachiliwa na Azam? Kuna watu wajinga sana kwenye media zetu halafu wamepata platform ya kupiga porojo tu.
Makolo huwa mnashida gani nyie? Akisemwa Yanga ni sahihi akisemwa Simba anaonewa. Haya huyo Kiemba kacheza Yanga, Simba na Azam ametoa ya moyoni unakuja kumponda. Tukisema mnaongozwa na hisia tunakosea?Mechi imechezwa jana na mjadala ni kuhusu gemu ya jana, leo Kiemba anabadilisha mada eti hata Simba wana timu zao, timu gani imecheza na simba kukawa na mchekea?
Kiemba ameibuka akidai Simba inaachiliwa na Azam? Kuna watu wajinga sana kwenye media zetu halafu wamepata platform ya kupiga porojo tu.
Kiemba alikuwa anayaona hayo mambo kwa macho yake akiwapale Simba,wakati huo wewe upo zako Mpwapwa hata Rage au Dalali au Hanspope hujawahi kuwaona live zaidi ya kuwaona kwenye Tv na kuwasikia kwenye redioMechi imechezwa jana na mjadala ni kuhusu gemu ya jana, leo Kiemba anabadilisha mada eti hata Simba wana timu zao, timu gani imecheza na simba kukawa na mchekea?
Kiemba ameibuka akidai Simba inaachiliwa na Azam? Kuna watu wajinga sana kwenye media zetu halafu wamepata platform ya kupiga porojo tu.
Hayo ni maoni yake ambayo hayawezi badilisha ukweli wa kuwa jana mechi ilipangwa!Mechi imechezwa jana na mjadala ni kuhusu gemu ya jana, leo Kiemba anabadilisha mada eti hata Simba wana timu zao, timu gani imecheza na simba kukawa na mchekea?
Kiemba ameibuka akidai Simba inaachiliwa na Azam? Kuna watu wajinga sana kwenye media zetu halafu wamepata platform ya kupiga porojo tu.
Yanga imewafunga mara 4 mfululizo! Na nyinyi hamkupanga matokeo kweli?Mechi imechezwa jana na mjadala ni kuhusu gemu ya jana, leo Kiemba anabadilisha mada eti hata Simba wana timu zao, timu gani imecheza na simba kukawa na mchekea?
Kiemba ameibuka akidai Simba inaachiliwa na Azam? Kuna watu wajinga sana kwenye media zetu halafu wamepata platform ya kupiga porojo tu.
Mechi imechezwa jana na mjadala ni kuhusu gemu ya jana, leo Kiemba anabadilisha mada eti hata Simba wana timu zao, timu gani imecheza na simba kukawa na mchekea?
Kiemba ameibuka akidai Simba inaachiliwa na Azam? Kuna watu wajinga sana kwenye media zetu halafu wamepata platform ya kupiga porojo
Yaan mikia bhana ndyo maana waliitwa mbumbumbu Yanga ikiongoza ligi yanaanza kelele mara GSM kuzamini timu nyingi mara tutahama ligi halafu kwa kuzihilisha umbumbumbu wao wanajua kabisa kuna timu lao lina wachezaji wa level za chini sanaMechi imechezwa jana na mjadala ni kuhusu gemu ya jana, leo Kiemba anabadilisha mada eti hata Simba wana timu zao, timu gani imecheza na simba kukawa na mchekea?
Kiemba ameibuka akidai Simba inaachiliwa na Azam? Kuna watu wajinga sana kwenye media zetu halafu wamepata platform ya kupiga porojo tu.