Binamu nawe unaamini....?Mfyuuuuuuuuu mtamaliza mabucha nyama ni hiyo hiyo
Siamini binamu yanguBinamu nawe unaamini....?
Kabisa, yaani unaona ladha ni ile ile....?Siamini binamu yangu
Binamu ladha ni ile ile tatizo maumbo tuKabisa, yaani unaona ladha ni ile ile....?
Wajua binamu kwenye maumbo ndio inaletea ladha kubadilika....Binamu ladha ni ile ile tatizo maumbo tu
Mh binamuWajua binamu kwenye maumbo ndio inaletea ladha kubadilika....
Naam binamu, hii hata wewe ina apply once ukiongezeka uzito na ukipungua, unakauwa na ladha tofauti.....Mh binamu
Umeelewa sana mkuuNyama ya Ukerewe ni TAMU sana.
Nyama ya Kongwa ni TAMU kuliko ya Dodoma.
Nyama ya Phina yashinda zote
Mkuu uko vixuriNaam binamu, hii hata wewe ina apply once ukiongezeka uzito na ukipungua, unakauwa na ladha tofauti.....
Soma taratibu ...utaelewamkuu umekumbwa na masahiba gani tena!!!! weka wazi hapa naona umeweka tungo tata sana
Pamoja mkuutumekaa siku mbili hatujapata jicho, sasa leo tusipopata tutakukula weye au meneja....hahaaaah nilicheka sana kauli hiyo aliambiwa mlinzi sehemu moja mkoa wa kaskaz huko...hawa jamaa waliambiwa ukitaka kupata mwanamke wa usiku mmoja Tz we muulize kama anatoa jicho...sasa mi nikawa nashangaa kwanini wageni wangu mambo hayajipi kumbe kila manzi wakimwita wauliza hiyo kitu, mpaka niliokuja kujua..nilicheka sana
Usijidanganye ....zingine zina tv ndani haiseeMfyuuuuuuuuu mtamaliza mabucha nyama ni hiyo hiyo
Kitu kipya kipi hapo....amabachoMungu nijaalie nibaki kama nilivyo maana Dunia imepoteza direction