Hata nje kuna uhaba wa ajira, tukomae hapahapa

Hii picha mme edit kishamba mno.

Uyo jamaa kashika bango dogo, ilo kubwa mmempa ninyi.

Kibaya zaidi msivo na haya, ata dogo aliloshika mmeshindwa kulificha.

Upuuz wa wapi huu[emoji20]
 
Naona watu hawataki kukubali kuwa hata nje nako kuna shida ya ajira.
 
Hii picha mme edit kishamba mno.

Uyo jamaa kashika bango dogo, ilo kubwa mmempa ninyi.

Kibaya zaidi msivo na haya, ata dogo aliloshika mmeshindwa kulificha.

Upuuz wa wapi huu[emoji20]
Wanatutisha tusiende uropa labda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…