Hata Petro aliitwa Mropokaji na Mitume wenzake Lakini Yesu akasema Juu ya Mwamba Huu Nitalijenga Kanisa langu, Viva Tundu Lisu!

Hata Petro aliitwa Mropokaji na Mitume wenzake Lakini Yesu akasema Juu ya Mwamba Huu Nitalijenga Kanisa langu, Viva Tundu Lisu!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Hotuba ya Lema imedhihirisha Mwenyekiti Mbowe hana Nia ya kuongoza Chadema Kwa sababu amechoka ila Kuna Watu wamemlazimisha Kwa maslahi ya matumbo yao

Aidha Lema amedhihirisha Chadema ni Chama Cha Vinyonga hujibadili rangi kulingana na Mazingira ya Ulaji

Tatu hotuba ya Lema imeonesha Mbowe ni Mfanyabiashara anaangalia Faida Binafsi kwanza katika jambo lolote

Mtume Petro ndiye pekee alikuwa akihoji na kumchallange Yesu kiasi mitume wengine walimuona kama Mropokaji lakini ndiye Mtume ambaye Yesu aliijenga Kanisa Juu yake

Mungu wa Mbinguni mbariki Tundu Lisu

Ahsanteni sana
 
Na huyu Lema ndiye Katibu Mkuu ajaye... sasa moto utawaka huko ccm.. wapambane kwa hoja hadi watanzania wakipate wanacho kitaka
 
Na huyu Lema ndiye Katibu Mkuu ajaye... sasa moto utawaka huko ccm.. wapambane kwa hoja hadi watanzania wakipate wanacho kitaka
Timu ya Lissu, Heche, Lema, Mahinyila itakuwa nzuri kama watashinda. Tanzania itapata upinzani wa kweli.

Watanzania wengi zaidi wataunga mkono Chadema sababu at least wanaonekana wana nia ya dhati kudai katiba mpya, tume huru, kupinga ufisadi.
 
Timu ya Lissu, Heche, Lema, Mahinyila itakuwa nzuri kama watashinda. Tanzania itapata upinzani wa kweli.

Watanzania wengi zaidi wataunga mkono Chadema sababu at least wanaonekana wana nia ya dhati kudai katiba mpya, tume huru, kupinga ufisadi.
Kweli tupu ndugu yangu na bandiko lako litimie- Amen
 
Mtume Petro ndiye pekee alikuwa akihoji na kumchallange Yesu kiasi mitume wengine walimuona kama Mropokaji lakini ndiye Mtume ambaye Yesu aliijenga Kanisa Juu yake
Una ushahidi wa hiki unachosema hapa?
 
Hotuba ya Lema imedhihirisha Mwenyekiti Mbowe hana Nia ya kuongoza Chadema Kwa sababu amechoka ila Kuna Watu wamemlazimisha Kwa maslahi ya matumbo yao

Aidha Lema amedhihirisha Chadema ni Chama Cha Vinyonga hujibadili rangi kulingana na Mazingira ya Ulaji

Tatu hotuba ya Lema imeonesha Mbowe ni Mfanyabiashara anaangalia Faida Binafsi kwanza katika jambo lolote

Mtume Petro ndiye pekee alikuwa akihoji na kumchallange Yesu kiasi mitume wengine walimuona kama Mropokaji lakini ndiye Mtume ambaye Yesu aliijenga Kanisa Juu yake

Mungu wa Mbinguni mbariki Tundu Lisu

Ahsanteni sana
Petro hakuwahi kuropoka kumdhalilisha Mwenyekiti wake Yesu hadharani au huduma yake kama Lisu anayofanya

Usimfananishe Petro na Lisu

Lisu anaropoka kumdhalilisha Mwenyekiti wake Mbowe na kazi zake na huduma zake ndanu ya Chadema

Hawezi pewa hiyo kazi ta chunga kondoo zangu wa Chadema
 
Hotuba ya Lema imedhihirisha Mwenyekiti Mbowe hana Nia ya kuongoza Chadema Kwa sababu amechoka ila Kuna Watu wamemlazimisha Kwa maslahi ya matumbo yao

Aidha Lema amedhihirisha Chadema ni Chama Cha Vinyonga hujibadili rangi kulingana na Mazingira ya Ulaji

Tatu hotuba ya Lema imeonesha Mbowe ni Mfanyabiashara anaangalia Faida Binafsi kwanza katika jambo lolote

Mtume Petro ndiye pekee alikuwa akihoji na kumchallange Yesu kiasi mitume wengine walimuona kama Mropokaji lakini ndiye Mtume ambaye Yesu aliijenga Kanisa Juu yake

Mungu wa Mbinguni mbariki Tundu Lisu

Ahsanteni sana
Kwahiyo mtume Petro Lissu ndo anam challenge Yesu Mbowe, inabidi Yesu Mbowe amwachie mtume Lissu petro àjenge kanisa (Chadema)!
Sasa nasema hivi, mtume Muhammad (SAW) àmemkataa huyo mkatoliki Petro Lissu anamtambua Yesu Mbowe ndo ajenge kanisa.
 
Kwahiyo mtume Petro Lissu ndo anam challenge Yesu Mbowe, inabidi Yesu Mbowe amwachie mtume Lissu petro àjenge kanisa (Chadema)!
Sasa nasema hivi, mtume Muhammad (SAW) àmemkataa huyo mkatoliki Petro Lissu anamtambua Yesu Mbowe ndo ajenge kanisa.
Muhammad siyo mtume wala nabii,ni kanjanja la allah!
 
Hotuba ya Lema imedhihirisha Mwenyekiti Mbowe hana Nia ya kuongoza Chadema Kwa sababu amechoka ila Kuna Watu wamemlazimisha Kwa maslahi ya matumbo yao

Aidha Lema amedhihirisha Chadema ni Chama Cha Vinyonga hujibadili rangi kulingana na Mazingira ya Ulaji

Tatu hotuba ya Lema imeonesha Mbowe ni Mfanyabiashara anaangalia Faida Binafsi kwanza katika jambo lolote

Mtume Petro ndiye pekee alikuwa akihoji na kumchallange Yesu kiasi mitume wengine walimuona kama Mropokaji lakini ndiye Mtume ambaye Yesu aliijenga Kanisa Juu yake

Mungu wa Mbinguni mbariki Tundu Lisu

Ahsanteni sana
Hahahaha Yohana Mbatizaji...
Msafisha njia Wa Yesu.. 😅😅
 
Back
Top Bottom