Hata Republican ya USA Kwenye uchaguzi wa Mgombea uRais walishambuliana kama Mbowe na Lisu. Ni ukomavu ndio sababu Lucas anatamani Chadema!

Hata Republican ya USA Kwenye uchaguzi wa Mgombea uRais walishambuliana kama Mbowe na Lisu. Ni ukomavu ndio sababu Lucas anatamani Chadema!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Tuwe Wakweli kinachoendelea Chadema ndio ukomavu wa Demokrasia

Ingekuwa ni wale Mbogamboga ungesikia Lisu ameshakatwa eti alianza kampeni mapema lakini Kamilius akaachwa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Chadema wakimaliza uchaguzi salama na kubaki wamoja watakuwa wameweka Msingi muhimu sana kuelekea Katiba mpya ya JMT

Nawatakia Dominica Njema 🌹
 
Tuwe Wakweli kinachoendelea Chadema ndio ukomavu wa Demokrasia

Ingekuwa ni wale Mbogamboga ungesikia Lisu ameshakatwa eti alianza kampeni mapema lakini Kamilius akaachwa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Chadema wakimaliza uchaguzi salama na kubaki wamoja watakuwa wameweka Msingi muhimu sana kuelekea Katiba mpya ya JMT

Nawatakia Dominica Njema 🌹
demokrasia haiji kwa kusema uongo kwa mwenzako...... unasema facts na unaangalia mazingira ya nyumbani kwako yakoje.

We have fragile democracies, hatujakomaa bado kuhimili misukosuko ya ubinafsi, umimi.... usilinganishe na USA......
Chadema needs a defensive democracy..... a democracy that limits some rights and freedoms in order to protect its existence.
 
Tuwe Wakweli kinachoendelea Chadema ndio ukomavu wa Demokrasia

Ingekuwa ni wale Mbogamboga ungesikia Lisu ameshakatwa eti alianza kampeni mapema lakini Kamilius akaachwa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Chadema wakimaliza uchaguzi salama na kubaki wamoja watakuwa wameweka Msingi muhimu sana kuelekea Katiba mpya ya JMT

Nawatakia Dominica Njema 🌹
Hata saa bovu kuna wakati linasoma majira sawasawa. Usipokunywa akili zinakaa sawa.
 
demokrasia haiji kwa kusema uongo kwa mwenzako...... unasema facts na unaangalia mazingira ya nyumbani kwako yakoje.

We have fragile democracies, hatujakomaa bado kuhimili misukosuko ya ubinafsi, umimi.... usilinganishe na USA......
Chadema needs a defensive democracy..... a democracy that limits some rights and freedoms in order to protect its existence.
Punguza presha.Utafariki aisee!
 
demokrasia haiji kwa kusema uongo kwa mwenzako...... unasema facts na unaangalia mazingira ya nyumbani kwako yakoje.

We have fragile democracies, hatujakomaa bado kuhimili misukosuko ya ubinafsi, umimi.... usilinganishe na USA......
Chadema needs a defensive democracy..... a democracy that limits some rights and freedoms in order to protect its existence.

Uongo Wa pesa za Abdul na Mama yake?
 
demokrasia haiji kwa kusema uongo kwa mwenzako...... unasema facts na unaangalia mazingira ya nyumbani kwako yakoje.

We have fragile democracies, hatujakomaa bado kuhimili misukosuko ya ubinafsi, umimi.... usilinganishe na USA......
Chadema needs a defensive democracy..... a democracy that limits some rights and freedoms in order to protect its existence.
Uwongo ndio Siasa yenyewe we tutusa

Mbowe alidanganya anastaafu lakini bado anadunda tu na hiyo ndio Siasa yenyewe πŸ˜‚πŸ˜‚
 
demokrasia haiji kwa kusema uongo kwa mwenzako...... unasema facts na unaangalia mazingira ya nyumbani kwako yakoje.

We have fragile democracies, hatujakomaa bado kuhimili misukosuko ya ubinafsi, umimi.... usilinganishe na USA......
Chadema needs a defensive democracy..... a democracy that limits some rights and freedoms in order to protect its existence.
Soma elewa vizuri. Hajalinganisha na USA! Kasema hata wagombea wa USA walishambuliana.
 
Uwongo ndio Siasa yenyewe we tutusa
wewe kibaka ndiyo maana ulitupwa huko uliko....
Uongo wa kusema fulani mla rushwa? Hiyo ni crimnal statement haiachwi hivi hivi.

Wewe kibaka wa Lumumba uwe unaelewa ni uongo upi unakubalika katika kampeni na upi haukubaliki.

Unaweza kusema nitamnunulia kila mmoja ndege mkinichagua...ni uongo wa kampeni unaokubalika. lakini siyo kusema Mbowe kapokea hela za Rushwa ya samia bila ushahidi

ngoja nimwambie samia akurudishe uje ule mavi πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€
 
Chadema needs a defensive democracy..... a democracy that limits some rights and freedoms in order to protect its existence.
We jamaa nakumbuka kipindi cha Magu ulikuwa unafoka sana na kumuita dikteta! Eti anabana democrasy!!

Hii Democrazy mnayoitaka kumbe hata chadema haipo.

Nyie ni washenzi tu.
 
those wagombea are from developed democracies

Fine, walishambuliana kwa kusema uongo?
Sasa kiongozi, uongo Kuna sehemu ya kuthibitisha huo uongo, wewe kwa mtazamo wako unaweza kuita uongo lkn yanaweza yakawa ukweli tupu tatizo ikawa njia ya uwasilishaji ndio tatizo.
 
wewe kibaka ndiyo maana ulitupwa huko uliko....
Uongo wa kusema fulani mla rushwa? Hiyo ni crimnal statement haiachwi hivi hivi.

Wewe kibaka wa Lumumba uwe unaelewa ni uongo upi unakubalika katika kampeni na upi haukubaliki.

Unaweza kusema nitamnunulia kila mmoja ndege mkinichagua...ni uongo wa kampeni unaokubalika. lakini siyo kusema Mbowe kapokea hela za Rushwa ya samia bila ushahidi

ngoja nimwambie samia akurudishe uje ule mavi πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€
Labda nikuulize

KESI ya ugaidi ni ya Mwenyekiti wa Chadema au ya Freeman Mbowe binafsi?

Nimekaa pale 🐼
 
Tuwe Wakweli kinachoendelea Chadema ndio ukomavu wa Demokrasia

Ingekuwa ni wale Mbogamboga ungesikia Lisu ameshakatwa eti alianza kampeni mapema lakini Kamilius akaachwa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Chadema wakimaliza uchaguzi salama na kubaki wamoja watakuwa wameweka Msingi muhimu sana kuelekea Katiba mpya ya JMT

Nawatakia Dominica Njema 🌹
Lukas yupi Mkuu?!
 
Back
Top Bottom