johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
demokrasia haiji kwa kusema uongo kwa mwenzako...... unasema facts na unaangalia mazingira ya nyumbani kwako yakoje.Tuwe Wakweli kinachoendelea Chadema ndio ukomavu wa Demokrasia
Ingekuwa ni wale Mbogamboga ungesikia Lisu ameshakatwa eti alianza kampeni mapema lakini Kamilius akaachwa πππ
Chadema wakimaliza uchaguzi salama na kubaki wamoja watakuwa wameweka Msingi muhimu sana kuelekea Katiba mpya ya JMT
Nawatakia Dominica Njema πΉ
Hata saa bovu kuna wakati linasoma majira sawasawa. Usipokunywa akili zinakaa sawa.Tuwe Wakweli kinachoendelea Chadema ndio ukomavu wa Demokrasia
Ingekuwa ni wale Mbogamboga ungesikia Lisu ameshakatwa eti alianza kampeni mapema lakini Kamilius akaachwa πππ
Chadema wakimaliza uchaguzi salama na kubaki wamoja watakuwa wameweka Msingi muhimu sana kuelekea Katiba mpya ya JMT
Nawatakia Dominica Njema πΉ
Punguza presha.Utafariki aisee!demokrasia haiji kwa kusema uongo kwa mwenzako...... unasema facts na unaangalia mazingira ya nyumbani kwako yakoje.
We have fragile democracies, hatujakomaa bado kuhimili misukosuko ya ubinafsi, umimi.... usilinganishe na USA......
Chadema needs a defensive democracy..... a democracy that limits some rights and freedoms in order to protect its existence.
demokrasia haiji kwa kusema uongo kwa mwenzako...... unasema facts na unaangalia mazingira ya nyumbani kwako yakoje.
We have fragile democracies, hatujakomaa bado kuhimili misukosuko ya ubinafsi, umimi.... usilinganishe na USA......
Chadema needs a defensive democracy..... a democracy that limits some rights and freedoms in order to protect its existence.
Uwongo ndio Siasa yenyewe we tutusademokrasia haiji kwa kusema uongo kwa mwenzako...... unasema facts na unaangalia mazingira ya nyumbani kwako yakoje.
We have fragile democracies, hatujakomaa bado kuhimili misukosuko ya ubinafsi, umimi.... usilinganishe na USA......
Chadema needs a defensive democracy..... a democracy that limits some rights and freedoms in order to protect its existence.
Asubuhi tunagonga Mtogwa Bwashee πHata saa bovu kuna wakati linasoma majira sawasawa. Usipokunywa akili zinakaa sawa.
Wewe hata ukisikia harufu ya alcohol stimu zinapanda.Asubuhi tunagonga Mtogwa Bwashee π
Soma elewa vizuri. Hajalinganisha na USA! Kasema hata wagombea wa USA walishambuliana.demokrasia haiji kwa kusema uongo kwa mwenzako...... unasema facts na unaangalia mazingira ya nyumbani kwako yakoje.
We have fragile democracies, hatujakomaa bado kuhimili misukosuko ya ubinafsi, umimi.... usilinganishe na USA......
Chadema needs a defensive democracy..... a democracy that limits some rights and freedoms in order to protect its existence.
Ahsante sana mkuu πSoma elewa vizuri. Hajalinganisha na USA! Kasema hata wagombea wa USA walishambuliana.
those wagombea are from developed democraciesSoma elewa vizuri. Hajalinganisha na USA! Kasema hata wagombea wa USA walishambuliana.
wewe kibaka ndiyo maana ulitupwa huko uliko....Uwongo ndio Siasa yenyewe we tutusa
We jamaa nakumbuka kipindi cha Magu ulikuwa unafoka sana na kumuita dikteta! Eti anabana democrasy!!Chadema needs a defensive democracy..... a democracy that limits some rights and freedoms in order to protect its existence.
Sasa kiongozi, uongo Kuna sehemu ya kuthibitisha huo uongo, wewe kwa mtazamo wako unaweza kuita uongo lkn yanaweza yakawa ukweli tupu tatizo ikawa njia ya uwasilishaji ndio tatizo.those wagombea are from developed democracies
Fine, walishambuliana kwa kusema uongo?
Labda nikuulizewewe kibaka ndiyo maana ulitupwa huko uliko....
Uongo wa kusema fulani mla rushwa? Hiyo ni crimnal statement haiachwi hivi hivi.
Wewe kibaka wa Lumumba uwe unaelewa ni uongo upi unakubalika katika kampeni na upi haukubaliki.
Unaweza kusema nitamnunulia kila mmoja ndege mkinichagua...ni uongo wa kampeni unaokubalika. lakini siyo kusema Mbowe kapokea hela za Rushwa ya samia bila ushahidi
ngoja nimwambie samia akurudishe uje ule mavi π π π π π
Lukas yupi Mkuu?!Tuwe Wakweli kinachoendelea Chadema ndio ukomavu wa Demokrasia
Ingekuwa ni wale Mbogamboga ungesikia Lisu ameshakatwa eti alianza kampeni mapema lakini Kamilius akaachwa πππ
Chadema wakimaliza uchaguzi salama na kubaki wamoja watakuwa wameweka Msingi muhimu sana kuelekea Katiba mpya ya JMT
Nawatakia Dominica Njema πΉ
Lucas Mwashambwa πππLukas yupi Mkuu?!