Hata saa 24 hazijapita CHADEMA tayari waanza mbwembwe

Hata saa 24 hazijapita CHADEMA tayari waanza mbwembwe

MSAGA SUMU

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2015
Posts
6,661
Reaction score
21,656
Hali ilivyo mida hii moja ya tawi la Chadema nchini.
Swali : Je watapata kibali?.
FB_IMG_16728334319143063.jpg
 
Zote Bendera Hizo Kuipamba Tanzania
Tulingoja Kwa Muda Mrefu Sana Sana
 
Hali ilivyo mida hii moja ya tawi la Chadema nchini.
Swali : Je watapata kibali?.
View attachment 2468829
Kuna watu hawakuwa wakiamini kuwa:

"Kauli ya Rais ni SHERIA".

Ilikuwa ngumu kumuelewesha polisi Kwa kumsomea KATIBA wakati Yeye Amesikia AMIRI Jeshi mkuu akisema mikutano STOP.

Tupambanie KATIBA mpya itokanayo na Rasimu alosimamia Judge WARIOBA.

Mamlaka ya RAIS ni makubwa mno, yapunguzwe.

Aamen
 
Back
Top Bottom