Hata Shujaa Magufuli aliikuta CCM haina Fedha Ndio akafanya ule Uhakiki wa Mali za Chama Sasa Chadema hata Mali hawana achilia mbali Fedha!

Hata Shujaa Magufuli aliikuta CCM haina Fedha Ndio akafanya ule Uhakiki wa Mali za Chama Sasa Chadema hata Mali hawana achilia mbali Fedha!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Nikiwa British Council nikamuona Shujaa Magafuli anatembea Kwa miguu Kutoka Ikulu na wakaingia CRDB Holland House

Baadaye zikawepo tetesi alienda kuhakiki account Fulani Fulani za Government Ili kujiridhisha

Ndipo baadaye zoezi likahamia kwenye Chama likiongozwa na Dr Bashiru na Wakili Msomi Msando

Natoa tu angalizo kwa vyama vya Upinzani vinavyopokea Ruzuku wawe wanakagua account za Chama mara kwa mara siyo hadi wanapokuja Viongozi wapya

Ahsanteni sana 😄
 
Nikiwa British Council nikamuona Shujaa Magafuli anatembea Kwa miguu Kutoka Ikulu na wakaingia CRDB Holland House

Baadaye zikawepo tetesi alienda kuhakiki account Fulani Fulani za Government Ili kujiridhisha

Ndipo baadaye zoezi likahamia kwenye Chama likiongozwa na Dr Bashiru na Wakili Msomi Msando

Natoa tu angalizo kwa vyama vya Upinzani vinavyopokea Ruzuku wawe wanakagua account za Chama mara kwa mara siyo hadi wanapokuja Viongozi wapya

Ahsanteni sana 😄
mbaya zaidi,
kibaka na tapeli omba omba kuchangiwa pocket money wa chadi, hana mpango mkakakati wowote wa kujitegemea, hana marafiki wenye pesa ispikua mambwenyenye ya magharibi yaliyoahidi kumbackp kiuchumi asijue atumie kuingiza pesa kwenye mfumo 🐒
 
Wala usikonde, tutachanga mpunga hilo halina wasiwasi.
 
Nikiwa British Council nikamuona Shujaa Magafuli anatembea Kwa miguu Kutoka Ikulu na wakaingia CRDB Holland House

Baadaye zikawepo tetesi alienda kuhakiki account Fulani Fulani za Government Ili kujiridhisha

Ndipo baadaye zoezi likahamia kwenye Chama likiongozwa na Dr Bashiru na Wakili Msomi Msando

Natoa tu angalizo kwa vyama vya Upinzani vinavyopokea Ruzuku wawe wanakagua account za Chama mara kwa mara siyo hadi wanapokuja Viongozi wapya

Ahsanteni sana 😄
Ha ha ha ha ha ha
 
mbaya zaidi,
kibaka na tapeli omba omba kuchangiwa pocket money wa chadi, hana mpango mkakakati wowote wa kujitegemea, hana marafiki wenye pesa ispikua mambwenyenye ya magharibi yaliyoahidi kumbackp kiuchumi asijue atumie kuingiza pesa kwenye mfumo 🐒
Kibaka ni yule wa mboga mboga
 
Kumbe
Nikiwa British Council nikamuona Shujaa Magafuli anatembea Kwa miguu Kutoka Ikulu na wakaingia CRDB Holland House

Baadaye zikawepo tetesi alienda kuhakiki account Fulani Fulani za Government Ili kujiridhisha

Ndipo baadaye zoezi likahamia kwenye Chama likiongozwa na Dr Bashiru na Wakili Msomi Msando

Natoa tu angalizo kwa vyama vya Upinzani vinavyopokea Ruzuku wawe wanakagua account za Chama mara kwa mara siyo hadi wanapokuja Viongozi wapya

Ahsanteni sana 😄
Kumbe Msando alikuwa team JPM!!!
 
Nikiwa British Council nikamuona Shujaa Magafuli anatembea Kwa miguu Kutoka Ikulu na wakaingia CRDB Holland House

Baadaye zikawepo tetesi alienda kuhakiki account Fulani Fulani za Government Ili kujiridhisha

Ndipo baadaye zoezi likahamia kwenye Chama likiongozwa na Dr Bashiru na Wakili Msomi Msando

Natoa tu angalizo kwa vyama vya Upinzani vinavyopokea Ruzuku wawe wanakagua account za Chama mara kwa mara siyo hadi wanapokuja Viongozi wapya

Ahsanteni sana 😄
Wanachama ni zaidi ya mali.
Wote wenye chuki na uongozi mpya siku zijazo mtazikimbia hizi nyuzi zenu za roho kutu
 
Nikiwa British Council nikamuona Shujaa Magafuli anatembea Kwa miguu Kutoka Ikulu na wakaingia CRDB Holland House

Baadaye zikawepo tetesi alienda kuhakiki account Fulani Fulani za Government Ili kujiridhisha

Ndipo baadaye zoezi likahamia kwenye Chama likiongozwa na Dr Bashiru na Wakili Msomi Msando

Natoa tu angalizo kwa vyama vya Upinzani vinavyopokea Ruzuku wawe wanakagua account za Chama mara kwa mara siyo hadi wanapokuja Viongozi wapya

Ahsanteni sana 😄
Ccm inatagemea kuchota fedha hazina, na michango toka kwa wauza unga na wakwepa kodi. Cdm haina mafasi hiyo.
 
Nikiwa British Council nikamuona Shujaa Magafuli anatembea Kwa miguu Kutoka Ikulu na wakaingia CRDB Holland House

Baadaye zikawepo tetesi alienda kuhakiki account Fulani Fulani za Government Ili kujiridhisha

Ndipo baadaye zoezi likahamia kwenye Chama likiongozwa na Dr Bashiru na Wakili Msomi Msando

Natoa tu angalizo kwa vyama vya Upinzani vinavyopokea Ruzuku wawe wanakagua account za Chama mara kwa mara siyo hadi wanapokuja Viongozi wapya

Ahsanteni sana 😄
Hawana fedha kwa sababu wao hawaja wahi jimilikisha mali yeyote ile ya umma wala kutumia fedha zozote zile za umma kwa maslahi ya chama chao huo ndio ukweli wa wao kuto kuwa na pesa kabisa
 
Acha ujinga...JPM aliongelea Serikali, Lissu anaongelea taasisi.

Taasisi ambayo ilikuwa na mbunge mmoja na madiwani 3 nchi nzima- tumia akili we kuku hela inatika wapi ambayo Lissu angeikuta.
 
CCM unaitenga vipi na ufisadi na wizi? Kuna hata mccm mmoja aliwahi kufikishwa mahakamani na akahukumiwa kwa haki pamoja na maevidence yote tunayoyaona mitaani? Wizi, ufisadi, nepotism, upendeleo, incompetence na kubebana ni chakula cha kila siku cha Tanu/ccm/Asp haikuanza leo kuonana mwenzetu (umoja wa wachawi)
 
Back
Top Bottom