Kajifunze kusoma magezt ya udaku uangalie heading ya gazt na taarifa yake utakuta tofauti au rudia vitabu vya kiswahili kdato 2 na 3 jins ya kuandaa muhtasari nini maana yangu cheki 'Heading/title' yako kama ina mantiki au mashiko yoyote
ok nyway sorry kwa kukuboa!
So far utupu wa M/ke upo kama shimo(samahan kwa mf🙂 ulianza tangu ulipoanza kumsikia mwanamke au kumbwa kwa mwanadamu umeshawahi kusikia kuna mwanamke kalala na wanaume na kajaza uchi wake ukajaa? Au wewe ushawah kujaza?
Hivyo basi wapo wenzio na mababu zako walifanya hayo mambo hawakumaliza wanawake wote wala hawakujaza wakaishia kuzikwa
akiwa na uzito 1kg
jipende upendwe
ushaur wangu acha hiyo tabia mchukue huyo mwanamke ambaye unaendana naye sawa bao 6 sijui 10
hao wengine kapuni!!
Siku hizi usela ni kwa Mungu yaani kanisani au Msikitini full stop!!