Hata sijielewi..

Van Mlaki

Member
Joined
Mar 10, 2013
Posts
7
Reaction score
0
Ninapokua nafanya mapenz na baadh ya wacchana nashindwa kuenda zaid ya mbil lakini kuna hao wawili nikiwa nao on bed naenda mpaka 6 xometimes nakuwa na hamu yakuendlea ila wanakataa wanadai wamechoka...nini tatizo mandugu..
 
Kajifunze kusoma magezt ya udaku uangalie heading ya gazt na taarifa yake utakuta tofauti au rudia vitabu vya kiswahili kdato 2 na 3 jins ya kuandaa muhtasari nini maana yangu cheki 'Heading/title' yako kama ina mantiki au mashiko yoyote
ok nyway sorry kwa kukuboa!

So far utupu wa M/ke upo kama shimo(samahan kwa mf🙂 ulianza tangu ulipoanza kumsikia mwanamke au kumbwa kwa mwanadamu umeshawahi kusikia kuna mwanamke kalala na wanaume na kajaza uchi wake ukajaa? Au wewe ushawah kujaza?
Hivyo basi wapo wenzio na mababu zako walifanya hayo mambo hawakumaliza wanawake wote wala hawakujaza wakaishia kuzikwa
akiwa na uzito 1kg
jipende upendwe
ushaur wangu acha hiyo tabia mchukue huyo mwanamke ambaye unaendana naye sawa bao 6 sijui 10
hao wengine kapuni!!
Siku hizi usela ni kwa Mungu yaani kanisani au Msikitini full stop!!
 
Kizazi cha nyoka ngono kwenda mbele!

Si uendelee na mmoja wa hao wawili.
 

safi kabisa.
 
sasa unatakaje mkuu,kama unataka mwanamke bas chukua yule umpendae na unaenjoy nae.ila kwa ushaur oa ucje ukapotea kwa kujaribu ---- za wanawake,so kama umemridhia mmoja basi tulia nae
 
Kwanini unabadilisha hivyo? Huogopi magonjwa ya zinaa?..chagua mmoja na uoe,kama haupo tayari ni bora usubiri au uwe mwaminifu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…